Diwani CHADEMA ampongeza mbunge wa CCM

Diwani CHADEMA ampongeza mbunge wa CCM

Ni jambo la busara sana kwa viongoz kushirikiana hivyo kuwaletea wananchi maendeleo.safi sana.
 
Sidhani kama kakosea. Kama Mbunge anajitahidi kushiriki katika kutatua matatizo ya wapiga kura wake kwa nini asipongezwe? Huo ndio ukomavu wa demokrasia.
 
Kwa njaa ullyokuwanayo wewe kama kweli CCM wangekuwa wanalipa buku saba ungekuwa tayari mwanachama mtiifu.

...aaaah mkuu usione aibu bhana,sisi hatuji kuomba buku 7 zenu. bosi wenu mwigulu kila siku anakuja na ofa za hatari kutaka kutuhonga,hadi ukuu wa wilaya,milioni hamsini,magari na tumempa cha mbavu sembuse buku saba. mi ujue nakushangaa wamekukamata kwa buku saba tuuu...!!!??? njaa mbaya...??
 
Back
Top Bottom