Jaman anacho kusema huyu jamaa nikwelii kabisa nimekaa Kenya na nimeona watu wanavo lia nahizo ishu za mbegu mpya za Sungura. Mbegu mpya wameuziwa kwa bei ya juu sana 3500 ya Kenya nawalio wauzia hio bleed walidai wao ndo wanunuz wakuu lakin walejaamaa mpaka leo ninavo kwambia wamepotea na watu...
Nikiwa Uganda chuon kuna rafikiangu alikua bongo nakunijulisha kua kajiunga na hio Bitcoin na kapata mahela kibao, basi kwakua napenda pesa nakwakua nilikua na mwamin sana rafiangu nikamtumia kama laki 3 na nus ili aniunge kutokana na maelezo yake. Kweli baada ya kutuma ile pesa jamaa...
Yan kwa uongo huu ety km 40091 hata huez pata mjinga hata mmoja. Iv umeona wote humu mbulula sio? Jiongeze kialili ili ujue kula na vipo sio wiz wa kiboya namna hii
Asante sanaaa mkuu Mwenyez Mungu ukujalii maisha marefuu na yenye baraka telee najifunza mengi kupitia busara zako na upendo wako kwetu. Lazima nifike niondoke tz safarii hii naenda ku Re new passport yangu next week
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.