Lengo kuu ni drip irrigation..bt eneo hakuna maji..ndio lengo la kuomba msaada huu..je kuchimba kisima kutakidhi mahitaji ya drip irrigation mwaka mzima?
Wataalam wa mambo haya please
Habar wana jf.
Neimekua nikitafta maarifa ya agribusiness kwa muda mrefu..nikakutana na greenhouse ambayo gharama zake ni ghari.
Nmekutana na hii Drip agriculture.
Gharama zake kwa heka moja ni zipi?
Mahitaji yake ni yapi?
Shamba lipo eneo kavu je kuna utaalam wa kisima waweza...
Ni ngumu kuanzisha biashara ukaiacha ijiendeshe. Jua kwamba unaemwajil nae anandoto za utajir kama zako, tafuta mda hata wa wiki, either mkeo au ndugu yako afanye evaluation hapo.
But safi, quantity & quality ya chakula na customer care ni baadhi ya uchawi wa biashara hiyo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.