Ndugu yangu kama hayo maelezo yako ndivyo ilivyo, huyo HR anapashwa kibarua chake kioteshwe nyasi. Hakuna cha kujadili hapo, huyo Mzee hana haki ya kuuliza ni kwa nini mke wake amesimamishwa kwani kampuni haina mkataba wowote na huyo mzee. Mwenye mkataba ni mke wake. Hayo maswali yake akamuulize mkewe kwani yeye ni mtu mzima na anao uwezo wa kujieleza.
Kazi zina taratibu zake Bwana. Kwa mfano mume wangu hata kama nimemuandikisha ofisini kama mume, nisipotaka kumwambia nalipwa shilingi ngapi kwa mwezi, hawezi kuja ofisini kudai ofisi imwambie nalipwaje. Hata akija ofisi haipashwi kutoa jibu. Ni sawa na hii issue, huyu HR hakupashwa kutoa nafasi ya ili suala kujadiliwa kiofisi wala kutoa ahadi ya kuijibu barua. Kama alifanya hivyo, basi hiyo nafasi haimfai hata kidogo.
Hapa nazungumzia taratibu za kazi zilivyo, huyo mume ni third party hana haki ya kuhoji chochote kinachohusu ajira ya mke wake iwe kwa mdomo au maandishi. Ningekuwa ni boss wa huyo HR, mpaka sasa angekuwa kazi hana kwa kuukaribisha huu ujinga.
Tiba
Nakubaliana na wewe mkuu
Niongeze tu kwamba hili linaweza kumfukuzisha mtu kazi katika makampuni binafsi
Hii ni misconduct mbaya sana
Serikalini sheria za kazi hazijalizungumzia sana hili la kufanya mapenzi ofisini ila huku kwenye sekta binafsi makampuni yameweka sheria Kali sana
Sisi kwetu kuna adhabu ya termination, au kushushwa cheo au suspension na written warning
Nisingependa kwenda ndani zaidi kuhusu hii case yetu maana bado inashughulikiwa
wewe pia unatakiwa ufukuzwe kazi kwa kutoa siri za ofisi nje
usijaali sana.... "ukistiri aiybu ya mwenzio na Moula atastiri aiybu yako!" Yameshatokea...sasa ya nini kuvunja nyumba ya mwenzio, na kusambaratisha familia !!???Mbona naanza kukutilia mashaka sasa!
HR mbea huyu, yamemkaa rohoni yamemshinda anajifanya kaja kuomba ushauri, ningeijua kampuni yako ningekuja moja kwa moja kwa boss wako na ningehakikisha unachukuliwa hatua stahiki
usijaali sana.... "ukistiri aiybu ya mwenzio na Moula atastiri aiybu yako!" Yameshatokea...sasa ya nini kuvunja nyumba ya mwenzio, na kusambaratisha familia !!???
Wakuu,
Kuna staff hapa kwenye shirika letu ni mke wa mtu ameshikwa live akifanya mapenzi na jamaa mmoja hivi ambae ni mume wa mtu pia ofisini bahati mbaya aliewashika ni bosi wao ambae ni Raia wa Canada. Walisubiri staff wengine waondoke ndipo wakaanza kufanya ndani ya chumba cha ofisi, unfortunately huyu mCanada akarudi ofisini alisahau kitu akaona taa zinawaka kwenye chumba kingine akaamua aangalie kama bado kuna mtu, ndio akawafuma wakifanya zinaa.
Kwa sasa tumewasimamisha wakati uchunguzi ukiendelea kama sheria za kazi zinavyotaka na policy ya shirika pia, tayari walishaleta barua za kujieleza. Hivi karibuni mume wa huyu mama kaja kuniona kupata undani wa tatizo la mkewe, alitaka kujua ni kwanini tumemsimamisha mkewe kazi na tumetumia vigezo gani.
Bahati mzuri/mbaya malalamiko yake ameweka kwenye maandishi kwa njia ya barua ni mzee wa kikoloni hivi very conservative. Nikamwambia nitakujibu kwa barua pia utaikuta kwa secretary siku flani.Sasa wakuu miim kama Human Resources business partner wa hapa kwetu nalazimika kutunza siri za staff, tumelichanganua na wenzangu wakadai hatuwezi kumficha mume jambo zito kama hili.
Hivyo bado sijaridhika na majibu ya viongozi wenzangu hivyo nije kwenu wana JamiiForums kupata opinion zaidi maana humu nna uhakika kuna viongozi maofisini na kuna wasomi wengi tunaweza kuchanganua kwa pamoja suala hili. Mara ya mwisho nilikuwa na tatizo la kikazi kama mjuavyo idara ya Human Resources ina changamoto nyingi nikaja hapa kuomba ushauri nikapata msaada mkubwa sana.
Naomba nisieleweke vibaya, yapo mambo ya kikazi yana vikao vyake hayahitaji kuja hapa ila kuna yale ya kikazi ambayo yamekaa kijamii kama hili yenyewe nimeamua niwe nawashirikisha kwa mawazo.
Swali;
Nimjibu mume kwamba mkewe alishikwa akifanya mapenzi ofisini?
Mkewe kaja kazini Jana na kunipigia magoti kwamba nimdanganye mumewe kuwa amesimashwa kaingizia kampuni hasara.Kwamba mimi ndio nimeshikilia ndoa yake kwa sasa, kwamba akiachika na umri huo ataenda wapi?Situation ni very tricky na mwisho sijui EXCOM itaamua nini kuhusu hawa watu wawili
Your opinion please
NB:
Kama wahusika wa hili sakata wamo humu ndani, I do regret in advance for inconvenience caused in one way or another.
Madam T, nimekubali... Lakini duniani kusameheana bhana!!Asiposemewa atarudia tu huyu....
Mtaua watu kwa pressure! Members wrote humu watakosekana ambao wake zao wamesimamisjhwa kazi kwasababu moja au ingine?!
Huna akiliWakuu,
Kuna staff hapa kwenye shirika letu ni mke wa mtu ameshikwa live akifanya mapenzi na jamaa mmoja hivi ambae ni mume wa mtu pia ofisini bahati mbaya aliewashika ni bosi wao ambae ni Raia wa Canada. Walisubiri staff wengine waondoke ndipo wakaanza kufanya ndani ya chumba cha ofisi, unfortunately huyu mCanada akarudi ofisini alisahau kitu akaona taa zinawaka kwenye chumba kingine akaamua aangalie kama bado kuna mtu, ndio akawafuma wakifanya zinaa.
Kwa sasa tumewasimamisha wakati uchunguzi ukiendelea kama sheria za kazi zinavyotaka na policy ya shirika pia, tayari walishaleta barua za kujieleza. Hivi karibuni mume wa huyu mama kaja kuniona kupata undani wa tatizo la mkewe, alitaka kujua ni kwanini tumemsimamisha mkewe kazi na tumetumia vigezo gani.
Bahati mzuri/mbaya malalamiko yake ameweka kwenye maandishi kwa njia ya barua ni mzee wa kikoloni hivi very conservative. Nikamwambia nitakujibu kwa barua pia utaikuta kwa secretary siku flani.Sasa wakuu miim kama Human Resources business partner wa hapa kwetu nalazimika kutunza siri za staff, tumelichanganua na wenzangu wakadai hatuwezi kumficha mume jambo zito kama hili.
Hivyo bado sijaridhika na majibu ya viongozi wenzangu hivyo nije kwenu wana JamiiForums kupata opinion zaidi maana humu nna uhakika kuna viongozi maofisini na kuna wasomi wengi tunaweza kuchanganua kwa pamoja suala hili. Mara ya mwisho nilikuwa na tatizo la kikazi kama mjuavyo idara ya Human Resources ina changamoto nyingi nikaja hapa kuomba ushauri nikapata msaada mkubwa sana.
Naomba nisieleweke vibaya, yapo mambo ya kikazi yana vikao vyake hayahitaji kuja hapa ila kuna yale ya kikazi ambayo yamekaa kijamii kama hili yenyewe nimeamua niwe nawashirikisha kwa mawazo.
Swali;
Nimjibu mume kwamba mkewe alishikwa akifanya mapenzi ofisini?
Mkewe kaja kazini Jana na kunipigia magoti kwamba nimdanganye mumewe kuwa amesimashwa kaingizia kampuni hasara.Kwamba mimi ndio nimeshikilia ndoa yake kwa sasa, kwamba akiachika na umri huo ataenda wapi?Situation ni very tricky na mwisho sijui EXCOM itaamua nini kuhusu hawa watu wawili
Your opinion please
NB:
Kama wahusika wa hili sakata wamo humu ndani, I do regret in advance for inconvenience caused in one way or another.