.
Hili ni Jambo la kiroho zaidi linapaswa kujibiwa hivyo kuwa ni dhambi.
likikuwepo duniani lipo na litakiwepo mpaka Mwisho wà Ukimwengu
Kwa maoni yàngu viongozi wasilikemea Jambo hili la kishetani Kwa kuzungukazunguka!
m
Kwa maoni yangu
Yuko sahihi kabisa.
Katika hilo sio mnafiki.Wengi mnadanganywa kuwa tofauti ni lugha tu. Ukweli hakuchaguliwa kwa sababu ya lmani yake!
Anajua mungu Alleiker ) ni tofauti na Mungu wa utatu. Kwa hiyo yeyote anayefanya kinyume na lmani yake ,pasipo kujali cheo na nafasi yaje ni...
Hapa wangefafanua Mazingura ya kubadili mawazo sababu:
Haiwezekani mtu umepiga kura kabla hujatumbukiza na hujaiaribu kwa lolote ; kabla hujaitumbukiza ukabadili mawazo; halafu upewe karatasi nyingine !! Ina.maana alishirurushwa !
Kwa hiyo Mtumishi jina la Rashid bado unalo siyo ? Ubatizo wako una maana gani leo kama mtu wa kale bado unaendelea kumtambua na kumtumia kuombea kura?
Sisi Tunashirikiana na tunasaidiana sio kwa sababu ya lmani zetu; bali kwa ubinadamu na utu wetu.
Kwa Maoni yangu Bado Haujawekwa Huru; wala...
Kwa Maoni yangu .
Huyu mtu aliyemshauri kupeleka malalamiko haya; hana tofauti na yule aliyemshauri aende kwa. Baba Askofu Pengo kuomba msamaha kwa ajili ya kutafuta kura tu .Hata kama Mh Halima atapewa adhabu kusimamisha kampeni lakini Gwajma atapoteza zaidi.
Anayejua siasa anampoteza...
Kwa Maoni yangu Kisiasa Duniani kote Mgombea hashindi kwa sababu ameleta Maendeleo;; Ndio maana Ccm imekuwa inashinda huko nyuma; sio kwa sababu ya Maendeleo bali ikikuwa inatafuta kura
MTU anayejitambua. Hata ungenunua kivuko au meli: Lakini ukagusa uhuru na utu wake ; "umempoteza " !!
Kwa Maoni yangu Mpaka sasa hakuna Mgombea aliyeidhinishwa na Tume, Kwa hiyo Hakuna Kampeni. Kinachofanyika sasa ni kuomba Watu wakudhamini ugombee.
Unapoomba udhamini ni lazima ujieleze kwa ufupi kuonyesha Mtazamo wako kiujumla. Haya unaweza kuyafanya kwa wazi au kwa kificho.itategemea njia...
Kwa Maoni yangu Kila chama (Ccm na Chadema) kinapaswa kutafuta kura zao (walizopata na walizopoteza ) 2015 ziliko !
Hiki ndicho kipimo halisi cha kuanzia.
Niinavyo 2020 Act inachoweza ni kupunguza kura za ccm kupitia Wana ccm Wanaopenda Bernard na. Wapizani Wanaopenda Zitto lakini 2015...
Kwa Maoni yangu Kila chama (Ccm na Chadema) kinapaswa kutafuta kura zao (walizopata na walizopoteza ) 2015 ziliko !
Hiki ndicho kipimo halisi cha kuanzia.
Niinavyo 2020 Act inachoweza ni kupunguza kura za ccm kupitia Wana ccm Wanaopenda Bernard na. Wapizani Wanaopenda Zitto lakini 2015...
Kwa,Maoni yangu ; Hata kama kuna sababu nyingine ;Lakini Kwa nafasi yako Huu ni uamuzi wa maana sana : Huwezi kuratibu Uchaguzi Nchi nzima wakati wewe unagombea ;;Yaani hapo sasa ndio mnajipanga vizuri! Barikiwa tena
Jiulize kwanza kura 8m za Magufuli 2015 sl(Siyo ccm} zilitokana na nani na ziko wapi ? Wagawe watawale sasa itahamia ccm ; wanaomkubali Membe wako ccm nadhani watampa; na wapinzani wale wanaliompigia kura Magufuli kwa hasira ya Lowasaa kumkosa Dr slaa na Lipumba watampa; Kwa hiyo Mchuano utakuwa...
Jiulize kwanza kura 8m za Magufuli 2015 sl(Siyo ccm} zilitokana na nani na ziko wapi ? Wagawe watawale sasa itahamia ccm ; wanaomkubali Membe wako ccm nadhani watampa; na wapinzani wale wanaliompigia kura Magufuli kwa hasira ya Lowasaa kumkosa Dr slaa na Lipumba watampa; Kwa hiyo Mchuano utakuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.