Recent content by Pitch

  1. P

    Ukiamua kuwa na mahusiano na mume wa mtu lazima ukubali kuwa mtumwa wa mambo yafuatayo

    Ila wake xa watu wawe makini mno kwan cku hizi michepuko inashika waume za watu na madawa . .Mwanza IPO sana...ila mwisho no matter what mke ni mke tu...istoshe ewe uliezoea tembea na waume za watu..utatumika saaana cku ukijashutuka ushagonga thirty na kitu..and a man ll still take his wife...
  2. P

    Elizabeth 'Lulu' Michael achumbiwa na RDJ Majizzo

    Hatimaye...baada ya maswaibu mengi..mastaa wengi wanaishia kuzalishwa tu hii kitu wanaiskiaga tu..
  3. P

    Ushauri: Rafiki yangu anahamia Dodoma, mke anabaki Dar

    Na nyie mnavyotoka nje ya ndoa hovyo?mkuki kwa nguruwe....malizia mwenyewa..
  4. P

    Waume za watu acheni kuwafosi mabinti wawazalie watoto wa nje ya ndoa.

    Hivi kwa mfano ukamzalia unafikiri mkewake akija kujua huyo mwanaume ataendelea kW upande wako?lyk u said a sidechick ll always b a sidechick
  5. P

    Ushauri: Rafiki yangu anahamia Dodoma, mke anabaki Dar

    Trust me long distance relationship haiwork...na hivi watu ckuhizi kuchepuka kumekuwa kitu cha kawaida sana...inasikitisha sana.
  6. P

    Kumuacha MTU Anaekupenda Kweli...

    Amin nakuambia hata mpewe nn hamwez kuridhika...
  7. P

    Waume za watu acheni kuwafosi mabinti wawazalie watoto wa nje ya ndoa.

    Amin nawaambia mambo yamebadilika sana Eti Siku hizi michepuko inaraha kuliko walio olewa... .
  8. P

    Ulianzaje kukaa gheto?

    Maisha ya hm baada ya kumaliza chuo ni stress tu...
  9. P

    Waliooa wanawake darasa la 7 na kidato cha 4 wanafurahia ndoa zao kuliko waliooa wasomi

    Upendo wa kweli...misingi ya kiroho ya ukweli ndo kila kitu.. Mengine tutaumia na kuangaika sana.
  10. P

    Maisha baada ya kifo

    Kuna tumaini gani kwa ajili ya wafu? Yoh 5:28,29 matendo 24:15 "kutakuwa na ufufuo wa waadilifu na wasio waadilifu"majibu yote kutuhusu yapatikana kwenye biblia..Yehova anatueleza.. .
  11. P

    Maisha baada ya kifo

    "Roho yake hutoka, naye hurudi ardhini; siku hiyohiyo mawazo yake hupotea. Zaburi 146:4 "Walio hai wanajua kwamba watakufa, lakini waliokufa hawajui jambo lolote kamwe...jambo lolote unalofanya kwa mkono wako,lifanye kwa nguvu zako zote, kwa sababu hakuna kazi wala mipango wala ujuzi wala...
Back
Top Bottom