Ila wake xa watu wawe makini mno kwan cku hizi michepuko inashika waume za watu na madawa
. .Mwanza IPO sana...ila mwisho no matter what mke ni mke tu...istoshe ewe uliezoea tembea na waume za watu..utatumika saaana cku ukijashutuka ushagonga thirty na kitu..and a man ll still take his wife...
Kuna tumaini gani kwa ajili ya wafu?
Yoh 5:28,29 matendo 24:15 "kutakuwa na ufufuo wa waadilifu na wasio waadilifu"majibu yote kutuhusu yapatikana kwenye biblia..Yehova anatueleza..
.
"Roho yake hutoka, naye hurudi ardhini; siku hiyohiyo mawazo yake hupotea. Zaburi 146:4
"Walio hai wanajua kwamba watakufa, lakini waliokufa hawajui jambo lolote kamwe...jambo lolote unalofanya kwa mkono wako,lifanye kwa nguvu zako zote, kwa sababu hakuna kazi wala mipango wala ujuzi wala...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.