Amin nakuambia hata mpewe nn hamwez kuridhika...Aisee siku nikipata mwanamke atakayenipenda namna hiyo nitatulizana mazima
Inamaana huyu kwa kupitia chaputa kaisha gongwa na wangapiNakukumbusha; kwa picha hiyo wana-chaputa tuna matumizi nayo
Malizia hiyo mimba mlivoitoaKatika mahusiano kuna vioja vingi lakini sometimes Wanaume huwa tunafake Sana Love ili mradi Upate kuridhisha mwili wako... unatumia kila gharama,Kilaa Mbinuu,Kila Uongoo kumrubuni mtoto wa watu kumbe umetamani tu Shape yake....Chura ulilee usepee! Kimbembe kinakuja ushamfunua na Binti wa watu Kazama kweli aisee unajitahdi Kufake na kupretend unampenda kumbe Humfeel hata kidogooo yani Sasa usiombe adake Mimba weee.....[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] Iliwahi nitokea aisee Japo nlilimuacha lakini Hadi Kesho najihukumu maana alinipenda kweli..!
Je ushawahi kupretend kwenye mapenzi...mwisho wa siku ilikuwaje???View attachment 882093
Waongo sana haoWanawake wakipenda wanapenda kweli. Hili nimelishuhudia.
Nikadhani ulimpa mimba mtoto wa watu afu umuache maana dhambi ingekufataHaa ha ...kwani me falaa nimpe mimba???
Ma house girl wapo vizuri sana kwenye hii sektaWapo wanaotegewa alafu inanasa mzee
Hukuwa unapenda anavyopiga simu kila saa.... Kumbe hii ni sababu pia ya kuachika....😂😂Wanawake wanapenda sana ila wanakuaga na vijitabia fulan hv ambavyo unakuta sisi wanaume tunaona kabisa kua hafai kua mke japo ana upendo wa kweli...Mfano mpenz wangu niliemuacha juzkat yy alikua na mapenz ya dhati kabisaa tatzo lake ni tabia ya kuniharakisha kumuoa na kunipigia simu kila saa...ayo mambo nilikua nachukia sna na nilijitahid kumueleza lakini akashindwa kuyazuia
sidhani kama ni yeyendo yeye mkuu. kawa mheshimiwa saivi anazikimbia picha zake.
Kwake ni keroMkuu hauko makini kabisa, hizo ndo sababu ukampiga chini?
Wanaume wengi wanachukizwa na hiyo tabiaWanawake wanapenda sana ila wanakuaga na vijitabia fulan hv ambavyo unakuta sisi wanaume tunaona kabisa kua hafai kua mke japo ana upendo wa kweli...Mfano mpenz wangu niliemuacha juzkat yy alikua na mapenz ya dhati kabisaa tatzo lake ni tabia ya kuniharakisha kumuoa na kunipigia simu kila saa...ayo mambo nilikua nachukia sna na nilijitahid kumueleza lakini akashindwa kuyazuia
Kwake ni kero