Recent content by PIRO tycoon4

  1. PIRO tycoon4

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Vifurushi vyake vipoje?
  2. PIRO tycoon4

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Mkuu ttcl ina mi-fi??
  3. PIRO tycoon4

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri wenu kuhusu changamoto na za hizi brand za asus

    Hii kwa matumizi basic ni idel! Ila ni slow sana
  4. PIRO tycoon4

    JamiiForums Tanzania Budget ya 1.2M ninunue TV gani?

    TCL value for your money
  5. PIRO tycoon4

    JamiiForums Tanzania Tukumbushane: Unavyonunua TV mpya, unaangaliaga vigezo gani?

    Ninayo TCL Android tv,ipo poa sana shida upande wa mirrorcast ni mpaka uwe na bando
  6. PIRO tycoon4

    JamiiForums Tanzania Godoro gani ni zuri?

    Ukiachana na Majina makubwa ya Tanfoam na QFL dodoma. Nimekuja kugundua Vitafoam ndio kampuni best ya magodoro Tanzania,magodoro yao yana madaraja ambayo utachagua wewe kuendana na hela yako. Binafsi nilinunua godoro la VitaSupreme godoro ni quality sana na bei ni nafuu sana ila nashauri nunua...
  7. PIRO tycoon4

    JamiiForums Tanzania Kabla hujanunua godoro pitia hapa ujue lipi litakufaa

    Nimenunua Vita Supreme! Kiukweli godoro zuri sana
  8. PIRO tycoon4

    JamiiForums Tanzania App nzuri ya kuscan kutoka picha kuwa pdf

    Clear scanner
  9. PIRO tycoon4

    JamiiForums Tanzania Mwili wa askari wa TANAPA aliyepotea porini Kigosi, umepatikana ukiwa umeteketezwa kwa moto

    Kosa la kuingiza mifugo kwenye hifadhi hilo hamlioni?? Nyie mnaopongeza askari kuuwawa. Pili ni kosa Askari kwenda kuteta na hao wafugaji ina maana tayari walikuwa wanafahamiana na biashara yako ya kampa tena,mwisho wafugaji nao wakachoka. Rai yangu wote wafugaji na Askari tuwajibike
  10. PIRO tycoon4

    JamiiForums Tanzania Looh! Nimeambiwa kuchuma chai kg 1 sh 300 bora nirudi nyumbani

    Nimekumbuka niliwahi kufanya kazi ya kujaza viriba katika vitalu vya miti. Malipo yake yalikuwa viriba 700 kwa sh 10,000/= Nikakomaa siku ya kwanza nkaishia viriba 300!! Lakini nilipiga moyo konde mpaka nikaanza piga mpaka 1500 kwa siku.. Usikate Tamaa mkuu kazi ngumu hazina hela.
  11. PIRO tycoon4

    JamiiForums Tanzania Kwanini faini za LATRA ni kubwa sana?

    Bora nimeuona uzi huu binafsi hawa jamaa mara 100 na traffic mkuu
  12. PIRO tycoon4

    JamiiForums Tanzania Hii ndio safari yangu ya Kigoma na niliyoyashuhudia

    Mtoa mada inaonesha jinsi ulivyo muoga muoga
  13. PIRO tycoon4

    JamiiForums Tanzania Biashara za Mtandao (Network Marketing) zilizowahi kuwaliza Watanzania

    Maarifa ni muhimu sana kuliko kutanguliza hisia
  14. PIRO tycoon4

    JamiiForums Tanzania Tofauti ya asali ya nyuki wadogo na wakubwa ni nini?

    Tofauti ya asali hizo ni; 1.Aina ya nyuki wenyewe,nyuki wakubwa ni hawa nyuki tulizoea kuwaona siku zote na nyuki wadogo ni nadra kuwaona na huwa na mfanano wa nzi(melipona) 2.Asali ya nyuki wadogo ni nyepesi zaidi na huwa na ladha ya uchachu flani 3.Asali ya nyuki wadogo uzalishaje wake ni...
  15. PIRO tycoon4

    JamiiForums Tanzania Msaada: Maswali ya Bee-keeping kwenye interview

    Apo inategemea sana kwani kaitwa kwenye tasisi ipi? Tfs,Tawiri au nini
Back
Top Bottom