Recent content by PIRO tycoon4

  1. PIRO tycoon4

    Godoro gani ni zuri?

    Ukiachana na Majina makubwa ya Tanfoam na QFL dodoma. Nimekuja kugundua Vitafoam ndio kampuni best ya magodoro Tanzania,magodoro yao yana madaraja ambayo utachagua wewe kuendana na hela yako. Binafsi nilinunua godoro la VitaSupreme godoro ni quality sana na bei ni nafuu sana ila nashauri nunua...
  2. PIRO tycoon4

    Kabla hujanunua godoro pitia hapa ujue lipi litakufaa

    Nimenunua Vita Supreme! Kiukweli godoro zuri sana
  3. PIRO tycoon4

    Mwili wa askari wa TANAPA aliyepotea porini Kigosi, umepatikana ukiwa umeteketezwa kwa moto

    Kosa la kuingiza mifugo kwenye hifadhi hilo hamlioni?? Nyie mnaopongeza askari kuuwawa. Pili ni kosa Askari kwenda kuteta na hao wafugaji ina maana tayari walikuwa wanafahamiana na biashara yako ya kampa tena,mwisho wafugaji nao wakachoka. Rai yangu wote wafugaji na Askari tuwajibike
  4. PIRO tycoon4

    Looh! Nimeambiwa kuchuma chai kg 1 sh 300 bora nirudi nyumbani

    Nimekumbuka niliwahi kufanya kazi ya kujaza viriba katika vitalu vya miti. Malipo yake yalikuwa viriba 700 kwa sh 10,000/= Nikakomaa siku ya kwanza nkaishia viriba 300!! Lakini nilipiga moyo konde mpaka nikaanza piga mpaka 1500 kwa siku.. Usikate Tamaa mkuu kazi ngumu hazina hela.
  5. PIRO tycoon4

    Kwanini faini za LATRA ni kubwa sana?

    Bora nimeuona uzi huu binafsi hawa jamaa mara 100 na traffic mkuu
  6. PIRO tycoon4

    Hii ndio safari yangu ya Kigoma na niliyoyashuhudia

    Mtoa mada inaonesha jinsi ulivyo muoga muoga
  7. PIRO tycoon4

    Biashara za Mtandao (Network Marketing) zilizowahi kuwaliza Watanzania

    Maarifa ni muhimu sana kuliko kutanguliza hisia
  8. PIRO tycoon4

    Tofauti ya asali ya nyuki wadogo na wakubwa ni nini?

    Tofauti ya asali hizo ni; 1.Aina ya nyuki wenyewe,nyuki wakubwa ni hawa nyuki tulizoea kuwaona siku zote na nyuki wadogo ni nadra kuwaona na huwa na mfanano wa nzi(melipona) 2.Asali ya nyuki wadogo ni nyepesi zaidi na huwa na ladha ya uchachu flani 3.Asali ya nyuki wadogo uzalishaje wake ni...
  9. PIRO tycoon4

    Msaada: Maswali ya Bee-keeping kwenye interview

    Apo inategemea sana kwani kaitwa kwenye tasisi ipi? Tfs,Tawiri au nini
  10. PIRO tycoon4

    SoC02 Tufuge nyuki kwa maendeleo endelevu na tuwalinde kwa wivu mkubwa

    Kwangu mimi! Hili ni andiko bora na litabaki bora sio kwa minajili ya kupewa zawadi tu lakini makala hii ni ya muhimu na bado itaishi sana.
  11. PIRO tycoon4

    SoC02 Tufuge nyuki kwa maendeleo endelevu na tuwalinde kwa wivu mkubwa

    Mkuu Dotinata! Kwanza niombe samahani kwa kutokuwa hewani kwa muda.. Biashara ya mkaa inategemea miti! Ambayo hukatwa ili kuupata mkaa,na nyuki hutegemea miti hiyohiyo kwa ajili ya chakula (Chavua na mbochi) ,gundi ya nyuki (propolis) na makazi hasa nyuki wadogo.. La kusikitisha ni kwamba...
  12. PIRO tycoon4

    SoC02 Tufuge nyuki kwa maendeleo endelevu na tuwalinde kwa wivu mkubwa

    Royal jelly (Maziwa ya kifalme). Inaimarisha sana mfumo wa kinga ya mwili,pia nzuri kwa ngozi na nywele!! Kiufupi mungu aliweka maajabu mengi sana apa,ndio sababu mtu umri umeenda lakini ngozi bado ya under-17. Royal jelly ni "super food" katika koloni la nyuki, yenye virutubisho vingi ambavyo...
  13. PIRO tycoon4

    SoC02 Tufuge nyuki kwa maendeleo endelevu na tuwalinde kwa wivu mkubwa

    Adhabu zipo mkuu!! Ukikamatwa na mkaa ambao hauna kibali chombo kilichosafirisha mkaa kinakamatwa na mkaa pia. Wakala wa huduma za misitu(TFS) ndio wanahusika kwenye hili eneo.
Back
Top Bottom