Ukiachana na Majina makubwa ya Tanfoam na QFL dodoma.
Nimekuja kugundua Vitafoam ndio kampuni best ya magodoro Tanzania,magodoro yao yana madaraja ambayo utachagua wewe kuendana na hela yako.
Binafsi nilinunua godoro la VitaSupreme godoro ni quality sana na bei ni nafuu sana ila nashauri nunua...
Kosa la kuingiza mifugo kwenye hifadhi hilo hamlioni?? Nyie mnaopongeza askari kuuwawa.
Pili ni kosa Askari kwenda kuteta na hao wafugaji ina maana tayari walikuwa wanafahamiana na biashara yako ya kampa tena,mwisho wafugaji nao wakachoka.
Rai yangu wote wafugaji na Askari tuwajibike
Nimekumbuka niliwahi kufanya kazi ya kujaza viriba katika vitalu vya miti. Malipo yake yalikuwa viriba 700 kwa sh 10,000/=
Nikakomaa siku ya kwanza nkaishia viriba 300!! Lakini nilipiga moyo konde mpaka nikaanza piga mpaka 1500 kwa siku..
Usikate Tamaa mkuu kazi ngumu hazina hela.
Tofauti ya asali hizo ni;
1.Aina ya nyuki wenyewe,nyuki wakubwa ni hawa nyuki tulizoea kuwaona siku zote na nyuki wadogo ni nadra kuwaona na huwa na mfanano wa nzi(melipona)
2.Asali ya nyuki wadogo ni nyepesi zaidi na huwa na ladha ya uchachu flani
3.Asali ya nyuki wadogo uzalishaje wake ni...
Mkuu Dotinata!
Kwanza niombe samahani kwa kutokuwa hewani kwa muda..
Biashara ya mkaa inategemea miti! Ambayo hukatwa ili kuupata mkaa,na nyuki hutegemea miti hiyohiyo kwa ajili ya chakula (Chavua na mbochi) ,gundi ya nyuki (propolis) na makazi hasa nyuki wadogo..
La kusikitisha ni kwamba...
Royal jelly (Maziwa ya kifalme).
Inaimarisha sana mfumo wa kinga ya mwili,pia nzuri kwa ngozi na nywele!! Kiufupi mungu aliweka maajabu mengi sana apa,ndio sababu mtu umri umeenda lakini ngozi bado ya under-17.
Royal jelly ni "super food" katika koloni la nyuki, yenye virutubisho vingi ambavyo...
Adhabu zipo mkuu!!
Ukikamatwa na mkaa ambao hauna kibali chombo kilichosafirisha mkaa kinakamatwa na mkaa pia.
Wakala wa huduma za misitu(TFS) ndio wanahusika kwenye hili eneo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.