Tatizo la kwanza sisi Watanzania ni Waongeaji sana, na Umaskini , ambao upo kwa Jamii zetu nyingi, Angalia Wanasiasa wanapokaribia Uchaguzi wanajua kabisa Wananchi wakiwapa kitu kidogo wataishia kunyamaza kimya, Jana kwenye kikao cha Bunge, mbunge mmoja kagusia Tu Swala la TL basi wabunge...