"mpokee but mtafutie nyumba ya wageni alale,ukijaribu kumhusisha mke wako ndoa itakuwa matatani kwani ukimwambia hata kuamini,may be mke wako umemsoma!!"
"muda si mrefu utatoa machozi ya damu kama si kunywa sumu.Ila muweke wazi jamaa aoe mwingine ili utakapo kuwa unakufa atakapokuja kwenye msiba wako aje na kimwana wake.Akili mkichwa/wajinga ndio waliwao.
"ni kweli humpendi huyo jamaa humpendi kwa sasa na awali ulimpenda sana, sasa umeamua ule bata na msomi mwenzako,mlipe gharama zake zote hata kama atataka na riba mpe but uendako utajuta kuzaliwa!!?"
"nashukuru kupatikana kwa mtu kama wewe,weka contact zako ili tuwasiliane nawe,huyo bibi yetu katusaidia sana kama kakuachia maarifa.tusaidie mawasiliano"
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.