Mwana ulizingua, ile day one tu mtu anaingia lodge halafu unamuacha asepe, shame, samaki kanasa kwenye chambo halafu unamnasua????serves u right alivyokupa za mbavu, shubamiiit
Mimi siwalaumu sana ccm na mibunge yao, ila akili za watanzania sijui nani aliyeturoga tunaona watu wanavyoboronga bungeni lakini tunawarudisha hao hao tena, 2015 ccm wakishinda kwa kishindo kama wanavyojitapa itabidi ushauri wa Mkosamali ufanyiwe upembuzi yakinifu tutafute consultancy wa...
Kweli kabisa mkuu haujakosea Lissu ana akili mbovu ajabu ndo maana kwenye mjadala wa bungeni kuhusu escrow aligeuka SI unit maana kila kitu alikuwa anaulizwa yeye, small minds discuss people by the way Lissu ni mnyaturu.
Mkuu sometimes si vizuri kuongea kama huna facts on the ground, Mwalimu alikuwa groomed CDM muda mrefu sana toka akiwa channel 10, hata mwaka 2005 ni mmoja wa wana habari waliozunguka sana na kampeni za CDM, alikuwepo kwa kazi maalum, so usiende spidi tafuta kadi yake ya uanachama uangalie...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.