Msweet
JF-Expert Member
- Mar 26, 2014
- 3,241
- 4,441
Hivi Mwanamke Kuolewa Ni Lazima?
Hata mimi huwa najiuliza huli swali sipati majibu sahihi. Anyone to help please?????
Hivi Mwanamke Kuolewa Ni Lazima?
Wengine wakiolewa wanaota mapembe kazi zote unaachia HG...hata kumpa mume chakula hutaki...msipoolewa mnaanza mayowe....
Nahitaji kuoa mwanamke kama wewe ila tu ikiwa utaingia mzima mzima kwenye ndoa isiwe unaendelea na mahusiano mengine hasa na aliyekuzalisha maana haya mambo ya kijinga yapo. Mtoto nitamlea na kumsomesha sio shida. Ila tu ikiwa utaingia mzima mzima.
NB: niliwahi kuwa na mke tukate gana na sina mtoto.