FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 92,883
- 109,212
Naibu katibu mkuu wa CHADEMA Zanzibar Salmu Mwalimu amekuwa ni miongoni mwa wanasiasa wapya wanao kubarika kwa haraka tena sana.
= kubalika
Naibu katibu mkuu wa CHADEMA Zanzibar Salmu Mwalimu amekuwa ni miongoni mwa wanasiasa wapya wanao kubarika kwa haraka tena sana.
Badala ya kuchochea ufuasi wa mtu mmoja mmoja kma yeye, mbowe ameweza kuwabuavijana wengi wenye uwezo mkubwa wa kukijenga chama na kukipatia ufuasi wa kitaasisi
Kwa hiyo huyu Mwalim amepewa cheo kwa sababu ni mzanzibar na wala sio.kwa sababu ya uwezo wake wa uongozi? Kabla ya kuwa naibu katibu mkuu alikuwa nani kwenye chama?
Naibu katibu mkuu wa CHADEMA Zanzibar Salmu Mwalimu amekuwa ni miongoni mwa wanasiasa wapya wanao kubarika kwa haraka tena sana.
Kifupi anapendwa, sijui ana bahati ya kupendwa au chama chake. Lakini kila mkutano anaofanya watu wamekuwa wakimiminika sana na kupelekea kuvunja record ya Mwanasiasa kijana aliyewaingiza wanachama wapya wengi ndani ya chama cha siasa nchini, kupitia mkutano mmoja.
Tazama picha foleni ya watu wakinunua kadi za chama ili wawe wanachama.
View attachment 205191View attachment 205189
unaangalia vikosa vidogovidogooo. great thinker toka CCM.nimeamini kweli mna IQ ndogo.= kubalika
Naibu katibu mkuu wa CHADEMA Zanzibar Salmu Mwalimu amekuwa ni miongoni mwa wanasiasa wapya wanao kubarika kwa haraka tena sana.
Kifupi anapendwa, sijui ana bahati ya kupendwa au chama chake. Lakini kila mkutano anaofanya watu wamekuwa wakimiminika sana na kupelekea kuvunja record ya Mwanasiasa kijana aliyewaingiza wanachama wapya wengi ndani ya chama cha siasa nchini, kupitia mkutano mmoja.
Tazama picha foleni ya watu wakinunua kadi za chama ili wawe wanachama.
View attachment 205191View attachment 205189
Naibu katibu mkuu wa CHADEMA Zanzibar Salmu Mwalimu amekuwa ni miongoni mwa wanasiasa wapya wanao kubarika kwa haraka tena sana.
Kifupi anapendwa, sijui ana bahati ya kupendwa au chama chake. Lakini kila mkutano anaofanya watu wamekuwa wakimiminika sana na kupelekea kuvunja record ya Mwanasiasa kijana aliyewaingiza wanachama wapya wengi ndani ya chama cha siasa nchini, kupitia mkutano mmoja.
Tazama picha foleni ya watu wakinunua kadi za chama ili wawe wanachama.
View attachment 205191View attachment 205189
Wana uhusiano na mada husika. Si umeona ben alivyobadilika siku hizi baada ya kuona anatumika tu bure?