Jamani shemeji mchepuko ananiwazisha

Jamani shemeji mchepuko ananiwazisha

huyo si ndiyo mwanamke wako wa kwanza kuzini naye basi mme wake ndiyo atakuwa mwanamume wako wa kwanza kukutafuna kabaaaaaaaaaaaanggggggggggggggggggggggggggggggggg...........pwaaaaaaaaaa
 
Maliza shule kwanza...halafu ukirudi hapa utakuwa umepata jibu!!!
 
Tubuu. Ni bora uangukie mkonon mwa Mungu kuliko wa binadamu. Watakufaruua
 
Dah ngija nikae kimya waiter lete glass ya whisky na ice cubes nipunguze uchovu
 
Alikuwa bnt wa kwnz kumjua bt now ninae mwingine ambaye nina malengo ya kuoa km atakuwa mvumilivu.Ila nikimwona jamaa nasikitka kupta kiasi.....

MLALUKO JR;
Kweli weye ni Jr. kweli kweli. Mwanangu mdogo, usiende mochware kuomba kuwekwa kwenye friji ati unasikia joto. Zile hawalazwi watu wenye uhai wao.
Unasema ukimwona huyo mume mwenzio unamsikitikia sana. Nikuulize kaswali kadogo tu; Isije ikawa ulikata ile kitu ukaficha sasa unaona mwenzio ana taab kwa kuwa hajui mkewe alipoezea wapi kipoozeo chake.
Huo ni utoto unakusumbua, hebu jaribu kujidai mbele ya huyo mvumilivu wako kuwa ulishawahigi kutembea na mwanamke mwingine. Ukitaka kumpima uvumilivu wake, mwelezee ulivyo mfurahia huyo wa kwanza. Akirudi tena kwako, jua huyo anakupenda kweli kweli. Usithubutu hata kumwambia jamaa hata kama ni mfupi kama nyundo. Atakumaliza. They say; Let the sleeping dogs lie.
 
ni kweli maaana ni hatari bt ila mwanamke yule nipga marufuku japo alidai kuanzia hpo undugu umekwisha na yy
 
wakati unamtafuta mume wake uwe tayari umeshaanza mazoezi ya kushika ukuta... ununue mafuta ya K-Y .,,,.... ununue kinga....

pia andaa hela ya sanduku la parapanda...... pia sanda na nguo ya kukuzikia........ na hela ya kulipia eneo la kukuzika......

karibu tena

unamaanisha nn???hyo mafuta ya K-Y Umeshawahi tumiwa nayo,huo ni ufirauni
 
Yaani ile fomula iliyotumiwa ya UEFA kuzipanga Barcelona na ile timu ya Ujerumani mi sijaielewa kabisa aise; hata we fikiria, manager wa timu ya Bayern si ndio ametokea Barcelona!?
 
Nenda kamwambie ili uwe huru halafu utatupa mrejesho
 
unamaanisha nn???hyo mafuta ya K-Y Umeshawahi tumiwa nayo,huo ni ufirauni
wewe huoni kama ni ufirauni kwenda kujitangaza kwa jamaa kuwa umeshapiga.. nenda kwa wauzaji ukaulize yana kazi gani? ila kwa mwaanume kazi yake ni kushikishwa ukuta
 
Mimi ni kijana nina umri wa miaka 22, pia nipo chuo kikuu mwaka wa kwanza. Kuna dada ya shemeji yangu ambaye ameolewa ila katika kukua kwetu yaani utotoni wakati tulipokuwa shule ya msingi tulikuwa na uhusiano but sikuwahi kuzini.

Lakini wakati nilipomaliza kidato cha sita kwa hali isiyokuwa ya kawaida tulipoweza kuzini kwa siku ya kwanza na siku iliyofuata alikuja tena na tukazini tena, kwangu ilikuwa mara ya kwanza kumjua mwanamke na kufanya mapenzi.

Kitu kinachoniumiza mpaka leo, binti huyo ni mke wa mtu pia ameshazaa mara mbili, nataka nimtafute mme wake nimuombe msamaha ili niwe huru kifikra na moyo unaniuma sana nifanyaje But yeye huyo mwanamke nilimwacha siku nyingi.


Tushauriane vizuri ndugu zangu

Umetumia kilevi gani wewe maana ulichoandika c bure kabisa!!!?
 
Afadhali nimeiona jii post. Nimechekaaaaa
Du
Kweli JF ni kisima cha vyote
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom