Mimi nilishafanyaga hii test na hawa waKenya last year. Ukiwaandikia email watakutumia test ambayo utaifanya kwa muda fulani then wanakupa majibundani ya 2 days the maximum. E.S Africa www.eserveafrica.com . Goodluck!!
Mh! kama bado watu hawajaitwa basi itakuwa Juneeeeee! Ndo kuanza kazi au July baada ya mwaka wa fedha kuanza. Sasa hapa hadi waite utakuta watu wengi washapata kazi sehemu nyingine .Toka interview ya kwanza iam sure miezi sita ishapiata.:scared::decision::A S 109:
Wana JF kwa yeyote yule mwenye kutaka kujiajiri na Nertwork Marketing naomba aniinbox ili nimuunganishe kwa mtu ninayemfahamu. Seriously hii bisness inatengeneza hela ila inahitaji mtu uwe unainteract/socialize sana na watu, pia uwe serious na goals zako. Inahitaji mtaji mdogo ila future yake ni...
:A S 39: Duh! kama huu ndo mfumo wa kuajiri watu makazini bora nianze hata kamtaji kakuuza nyanya maana kina kabwela kama mie with No godfaza:disapointed: kazi tutaishia kuziona tu humu ndani bila kuambulia chochote. :hatari::frusty:
Wandugu wa JF , kwa wale waliofanya second interview VETA; Nakumbuka walisema watawajulisha watu in two weeks.Je kuna waliojulishwa??maana two weeks imeisha toka last week na sasa tupo week ya tatu. Naombeni mnihabarishe jamani usikute watu na kazi washaanza.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.