white wizard
JF-Expert Member
- May 18, 2011
- 8,316
- 13,282
leo nimekutana na rafiki yangu mmoja,anasema yeye ameshapangiwa na mkoa wa kufanyia kazi!kwani walimpangia sehemu ambayo hataki!hivyo wamembadilishia,kwani yeye aliitwa tu kwani ana god father.kwani nafasi za kazi zilitangazwa kweli?kwani hata juzi kuna mdau alikuwa anaulizia humu.kaeni mkijua wa2 wameshaanza kazi.