Wewe kama mwananchi wa kawaida bila kujali ni mtoto wa nani, kimsingi kwa mtu makini na ambaye ni mtaifa na si mdini ni LAZIMA atakubaliana na wewe 100%.
Sikutegemea kama wewe ungeweza kutoa mchango mzito na muhimu kama huu.
Wengi wamejawa udini na ni wavivu wakufikiri mambo wa wakati ujao so...
Bado ni mvulana akishakua mwanaume yote yataisha,onyesha furaha kwake then tafuta week end moja nzuri unongone nae kwa upole na mahaba akwambie nini tatizo ili lirekebishwe, vinginevyo jifunze kumzoea ili uepuke gharama.:A S-heart-2:
Kwanza nakupa hongera kijana, pili naamini sasa kwamba muda mwingi utakua umewekeza katika masomo ambalo pia ni jambo jema, jitunze hakuna madhara, pambana na maisha mpaka utakapo pata wa maisha :nono:
MziziMkavu
nimekupata vema,
tafadhali mkuu kama una
takwimu za kuonyesha wazanzibar wote hawataki muungano naomba uzitupie hapa., ntashukuru sana mkuu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.