Recent content by pilu

  1. P

    Nimeamua kuachana na CHADEMA na kurudi CCM

    Ukivimbiwa amani inakua tatizo sana. Umetumia vibaya uhuru wa maoni. Na wengi kama ninyi hata elimu yenu hua ni ndogo au yakubaba isha. Jitafakari.
  2. P

    The Ponda Syndrome:- Kama Officially Sio Taifa La Wanafiki Basi We are Almost There!!

    Wewe kama mwananchi wa kawaida bila kujali ni mtoto wa nani, kimsingi kwa mtu makini na ambaye ni mtaifa na si mdini ni LAZIMA atakubaliana na wewe 100%. Sikutegemea kama wewe ungeweza kutoa mchango mzito na muhimu kama huu. Wengi wamejawa udini na ni wavivu wakufikiri mambo wa wakati ujao so...
  3. P

    Afadhali kuoa kuliko kuwaka tamaa..................

    Sure, kuna ukweli katika hilo.
  4. P

    Tetesi:wanawake wa kitanzania hupenda kudate na wanaume wenye professional hizi.

    Ingekua vizuri zaidi kama ungefatilia pia na sababu za wanawake kupenda hivyo kutoka katika chanzo ulicho patia habari hiyo
  5. P

    Husband coming home at 4am? is that ok?

    Bado ni mvulana akishakua mwanaume yote yataisha,onyesha furaha kwake then tafuta week end moja nzuri unongone nae kwa upole na mahaba akwambie nini tatizo ili lirekebishwe, vinginevyo jifunze kumzoea ili uepuke gharama.:A S-heart-2:
  6. P

    Nina miaka 21 na sijafanya mapenzi

    Kwanza nakupa hongera kijana, pili naamini sasa kwamba muda mwingi utakua umewekeza katika masomo ambalo pia ni jambo jema, jitunze hakuna madhara, pambana na maisha mpaka utakapo pata wa maisha :nono:
  7. P

    Tupia hapa,ingekua wewe ndio lema x mas yako ungefanyia wapi?

    nakusikitikia kama hilo kanisa lenu linaruhusu hivyo vitu vinavyo itwa "X mas", Tafakari chukua hatua.
  8. P

    Tupia hapa,ingekua wewe ndio lema x mas yako ungefanyia wapi?

    Mkuu nadhani wajua maana ya X, sasa wanapoita X mass inakua na maana gani? Tena nimesikitika wengine wanadai watakua kanisani, imenisikitisha sana.
  9. P

    Lema ashinda rufaa dhidi ya ubunge wake!

    haa haaa haaa!
  10. P

    Lema ashinda rufaa dhidi ya ubunge wake!

    ....Pongezi kwake.. Ni ushindi wa kitaifa...
  11. P

    CUF yataka serikali tatu

    MziziMkavu nimekupata vema, tafadhali mkuu kama una takwimu za kuonyesha wazanzibar wote hawataki muungano naomba uzitupie hapa., ntashukuru sana mkuu!
Back
Top Bottom