Je aliyekutoa ndiye aliyekuoa? Kama siye wewe ni mzinzi na ulifaa kupigwa mawe enzi za kina Musa.Hiyo kitu ni special kwa mume na si vinginevyo tatizo munakuwa mapepe mno na matokeo yake munaolewa huku hamna na ndiyo maana munasalitiwa, Utabisha lakini kama utaolewa na bikira ungekuwa mwanzo wa kiapo kwa mumeo.
sasa unalia?