Vurugu za Kidini Mbagala: Mtoto akojolea msahafu baada ya kuthubutishwa; makanisa yachomwa

nawaambia ukweli wakristo c wajinga wanapokaa kimya!ipo cku watakapoamua kuchukua hatua ndo mtawaelewa!coz haingii akilini mtu mwenye akili zake aende straigth kuchoma kanisa,limehucka vp hapo?...nawajua waislam wengi 2 wenye akili zao huwezi kuwakuta kwny mambo ya kipumbavu km hayo,ila wle wenzangu na mi ambao kazi yao kujazwa ujinga na kina ponda na akili za kushkiwa ndo wana kazi,ole wenu!
 
Asante MUNGU kwa kunifanya kuwa muislam, na nakuahidi nitakuwa muislam milele kwa maisha yangu yote hapa duniani.
 
Hawa waislam wanaojifanya wana imani kali..ni kama nunda mla watu. Na kwakuwa Mfalme ni mjinga...yeye anabaki akichekelea tu.

Waamefanya upuuzi huko Zanzibar, selikali inanung'unika tu, haichukui hatua. Wamegomea Sensa, wakakamatwa baadhi yao...wakaandamana kwenda kudai watolewe...serikali ikakaa kimya...ikawaachia. Wakaona alaaaaaaa, kumbe Serikali imelala...Sasa wanaanza kuchoma makanisa Darisalama...kwa sababu za kitoto

Imenisikitisha sana hii. Na wakristo wakiamua kuanzisha valangati...Nchi haitakalika hii.

Kikwete kwanini umekuwa Rais Tanzania????????
 
mie sishangai ujinga uliotawala ubongo wako. Maana umeshasoma kile kitabu ambacho kimeshakojolewa.

Mnatengeneza vikatuni vya kumkashifu mtume mkitoka hapo mnasema waislamu wakorofi, media za kwenu ndio tatizo mshaanza kubadili nyekundu kuwa njano eti aliyekojolea msahafu ni muislamu, wakristo wakorofi sana ila wanajivika ngozi ya kondoo
 
DSC09498.JPG

Hamis Salum, baba wa mtoto aliyechukua Msahafu wa Hamis kumpelekea mtoto mwenzake

Tushamnote Malipo ni hapa hapa Duniani.. Leo kwake kesho Kwetu
 
aliyekojolea si naskia ni Abdalah sijui nani nani! Ni mwenzao,hii ishu imepangwa ili wachome makanisa.si unajua wengi wao ni watu wa kukurupuka.
inasemekana anaitwa Emmanuel josephat

Baadhi ya vizuizi vilivyowekwa na waandamanaji katika eneo la Mbagala Kizuiani katika harakati za kupinga kitabu kitakatifu cha Koran kukojolewa na mtoto Emmanuel Josephat. Picha na Happy Mnale

Haya ni matokeo ya kulea vitendo vya ugaidi unaofanywa na;
1. Sheikh Ponda (mcheza karate ambae hajasoma hata darasa moja according to Mufti
2. Radio Imaan- wachochezi wa kidini na chuki dhidi ya uislamu
3. UAMSHO

Namba Moja umekosea ni Jini kabula (jk) anayewafadhiri na kuwalea kwani na yeye ni mmoja wao na remote yao
 
Kwanin wameharibu na kuchoma makanisa..!? Hii manake nin..!? Wakristo tumelala eeh..!? Huyo mtoto anahusika vip na hayo makanisa.!? Nadhan wakristo wenzangu tuamke, hawa watu wamezid kutupanda kichwan, uvumilivu na kuheshimiana vifike mwisho sasa, dawa ya moto ni moto..!!
 
nimegundua karibu kila kitu cha waislam ni second class...yaani hata imani yao wanaifanya iwe hivyo...cha ajabu ni, huo u second class ni wa kuchagua tu wenyewe, hakuna mtu/watu wanaowalazimisha...
 
Hii ni aibu kwa watu wanaoitwa waumini, mambo Kama hayo yalistahili kutendwwa na wahuni na sio waumini, aliyetenda kosa hilo ni mtoto, waliofanya fujo ni watu wazima, busara haijatumika hata Kidogo.:A S embarassed:
 
Mwisho wa dunia unakaribia Mungu turehem na hili garika. Haiwezekani michezo ya watoto itujengee chuki na kuleta tofauti katika dini zetu. Otherwise tuna visasi tunatafuta pakuanzia
 
Ponda ni mtu hatari nchi hii pamoja na radio imaan.. Sijaridhishwa na maneno aliyotoa
 
Pole Ndugu Sio Mingu aniyekuweka huko ni Shetani kasome vizuri fini ujue ibrahim alichoambiwa na Mungu hadi akamuondoa Ishmael ndipo utajua Mungu yupo Upande Gani... Nakushauri fuata Nja sahihi Kwani mwisho wako ni Ugaidi tu no Mema Utakayokuwa umefanya Duniani...

Mbinguni hutoulizwa uliua Watu wa dini zingine wangapi au umeharibu makanisa mangapi nyie ni Motoni tu
Njia sahihi ni uislamu tu hapa duniani na ndio maana msahafu haubadilishwi maisha lakini ukristo leo umekaa unajadili kuruhusu ama kuto ruhusu ndoa za jinsia moja hivi inaingia akilini kweli kwa watu kama nyie mnaojiita wasomi?
 
Kutokana na mfululizo wa matukio ya waislamu kuvamia makanisa na kuyashambulia kila inapotokea sintofahamu kati yao ama na serikali au na watu wa dini tofauti na yao, na serikali kutokuchukua hatua sitahiki kukomesha vitendo hivi vya kihuni, yafaa sasa wakristo tuikomalie serikali ilipe fidia ya uharibifu uliotokea huko mbagala jana.

Kimekuwa ni kitu cha kawaida tu kwa serikali hii dhaifu ya Tanzania inayoongonzwa na waislamu kufumbia macho mambo ambayo yanahatarisha amani ikiwemo kitendo cha wahuni wachache kujifanya wana mamlaka juu ya wenzao. Kwa mfano serikali inafahamu fika kampeni zinazofanywa na Redio imani dhidi ya ukristo na namna ambavyo redio hii inachochea chuki na magomvi kati ya waislam na wakristo, lakini haikuwahi kuchukua hatua yoyote dhidi ya redio hii. Lakini cha kushangaza ilifanya haraka sana kulifungia gazeti la mwanahalisi ambalo limekuwa daima likiandika ukweli kuhusu uozo wa serikali.

Kwa kuwa kwa hakika uvunjifu wa sheria unaofanywa na waislamu unaonekana wazi una mkono wa serikali, basi ni wakati mzuri sasa wa viongozi wa kikristo kutoa tamko la kuitaka serikali ibebe dhamana ya kila ovu linalofanywa na waislamu dhidi ya wakristo. Natoa wito kwa baraza la maaskofu Tanzania kuipa masaa au siku serikali ilipe fidia uharibifu wote uliofanywa na waislamu.

Wakrito tumekuwa wavumilivu sana dhidi ya hawa wenzetu lakini sasa tunadhani uvumilivu wetu utafika mwisho..
 
Mungu yupi?

Mimi ni muislam na dini yetu inatufundisha kuwa MUNGU ni mmoja tu, waulize hao vilaza wenye miungu mi3, mara mungu baba, mungu mwana na sijui mungu nani mwingine, ila sisi mungu ni mmoja tu
 
tuvumilie tu, bado kitambo kidogo tu huyu jamaa ataondoka...japo atatuachia hasara kubwa, lakini haya yatakomeshwa tu!
 
Back
Top Bottom