Recent content by PILSNER

  1. PILSNER

    Ni jambo la hatari sana kuwa waimbaji wa dini wajenzi huru

    Thibitisha madai yako mkuu.
  2. PILSNER

    Kumbe Majini sio viumbe vya kuogopa, yana vibrate at low frequency kuliko sisi

    Duuh Duuh... Kama ni kweli basi jamaa atakupa tofauti na tumfiriavyo. Hzo mambo sio za Kila mtu sawa ila in terms of understanding.....
  3. PILSNER

    Kumbe Majini sio viumbe vya kuogopa, yana vibrate at low frequency kuliko sisi

    Habari mkuu pm yako umefunga, Naomba na Mimi unisaidie hzo materials Natanguliza shukrani
  4. PILSNER

    Nongwa za Prof. Anna Tibaijuka baada ya USA Dola kuzidi kushuka na Shilingi ya Tanzania kuimarika

    Mimi binafsi naamini itapanda hv karibuni Naomba wachumi mnisaidie Kwan mfano haka ka akiba kangu ni ka ka change sai kawe Dollar afu ikipanda ni ka change kawe shilingi Kuna risk ya kukapoteza .!?
  5. PILSNER

    Grinder mashine na welding machine vinauzwa

    Ngoja nikae vizuri nikucheki hapo
  6. PILSNER

    Grinder mashine na welding machine vinauzwa

    Sio kwa ubaya mkuu ila hyo welding machine SI Bora sana ndo maana nkaomba kwa Bei hyo stability yake sio kubwa ki hivyo Ntumie namba tuwasiliane kama huyo jali
  7. PILSNER

    Grinder mashine na welding machine vinauzwa

    500k inakulipa mkuu..!?
  8. PILSNER

    SoC04 Tanzania na upatikanaji leseni mkononi

    Maan a kamili ya MIFUMO HAISOMANI
  9. PILSNER

    TEC, CCT, CPCT Kemeeni yanayoendelea Zanzibar ili kuwalinda Wakristo waishio Zanzibar

    Hivi Kuna Alie kamatwa kwa sababu ya kula mchana kipind Cha kwaresma..!!? Kusema ukweli na kwa maoni yangu binafsi MUUNGANO Uvunjwe kwa na sijui ni kwanini tuna wang'ang'ania hawa jamaa wakati wao hawatupendi..!?
  10. PILSNER

    You can change your Genetic code

    Ila njia yenye hajaitaja. Au Mimi ndo kidhungu hakipandi
Back
Top Bottom