Mimi binafsi naamini itapanda hv karibuni
Naomba wachumi mnisaidie
Kwan mfano haka ka akiba kangu ni ka ka change sai kawe Dollar afu ikipanda ni ka change kawe shilingi Kuna risk ya kukapoteza .!?
Sio kwa ubaya mkuu ila hyo welding machine SI Bora sana ndo maana nkaomba kwa Bei hyo stability yake sio kubwa ki hivyo
Ntumie namba tuwasiliane kama huyo jali
Hivi Kuna Alie kamatwa kwa sababu ya kula mchana kipind Cha kwaresma..!!?
Kusema ukweli na kwa maoni yangu binafsi MUUNGANO Uvunjwe kwa na sijui ni kwanini tuna wang'ang'ania hawa jamaa wakati wao hawatupendi..!?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.