Recent content by pilitics

  1. pilitics

    JamiiForums Tanzania MAJANGA: Tanzania kuilipa kampuni ya KONOIKE zaidi ya Sh. Bilioni 133 baada ya kushindwa kesi mahakamani!

    Sasa kama ni kweli, tanzania itanyooka tu!!
  2. pilitics

    JamiiForums Tanzania Uthibitisho: Wazungu wana akili zaidi kuliko Makabila mengine Duniani. Sisi wa Mwisho.

    Kwa nini tusingeanza sisi kuvumbua ila wakaanza wao. Kubali kataa huo ni ukweli wenzetu wana akili kutuzidi. Kama stick zenyewe made in chini. Wakati tuna miti kibao. Wakati ww unawaza kucheza game kwenye simu, kompyuta, mwenzako anawaza akutengenezee nini ili ibaki kiwa mtumiaji tu na cy...
  3. pilitics

    JamiiForums Tanzania Mikoa wa Katavi na Rukwa ni kiboko

    Acha kupotosha umma ndugu!! Yatakutokea puani!!
  4. pilitics

    JamiiForums Tanzania Mikoa wa Katavi na Rukwa ni kiboko

    Msiwe Mnaamini vitu vya kuambiwa nendeni mkaishi na watu wa huko mtapata ukweli!! Ww unayesema kijiji cha kalundi ni sehemu ambako wachawi wamekimbilia ww ni muongo tena muongo mkubwa na unatakiw kuwaomba msamaha wanakarundi kwa kuwapa sifa isiyokuw yakwao. Mimi natokea maeneo hayo kijiji cha...
  5. pilitics

    JamiiForums Tanzania Nini hatma ya TCU baada ya kauli ya Rais Magufuli?

    Athali yake ni kwamba wanafunzi wengi wataomba chuo kimoja hapo itakuwaje
  6. pilitics

    JamiiForums Tanzania Spika Ndugai:Tukimtaka Makonda hachomoki

    Rafiki yangu ww jali ya kwako kwa siku hizi cz hata tukio.gea vipi huyu mtukufu habadiriki!!
  7. pilitics

    JamiiForums Tanzania Spika Ndugai:Tukimtaka Makonda hachomoki

    Acheni umbea fa.yeni kazi. Raisi ameamua iwe hivo mnalia nini sasa!!!
  8. pilitics

    JamiiForums Tanzania Kitendo cha kumchanganya Pengo na madawa ni cha hatari

    Vijana wakubwa na wazee kuweni na kauli nzuri wakati mnawasirisha hoja!!
  9. pilitics

    JamiiForums Tanzania Tukifuta mfumo wa Indirect qualification kuingia chuo kikuu basi wafuatao wakarudie mitihani yao

    Kama hujaguswa utajisikia furaha sanaaaa, lakini kuna mwenzako anaumia hali halali kumuomba Mungu ndal abadirishe msimamo.
  10. pilitics

    JamiiForums Tanzania Yanayomkuta Lema yawe fundisho kwa wanasiasa wengine

    Kumbe na huku kuna wajinga ee!!!
  11. pilitics

    JamiiForums Tanzania Sheria ya kuwakata 15% wadaiwa bodi ya mikopo elimu yasainiwa

    Hata hivo baadhi ya wadaiwa makosa yamefanyika na bodi yenyewe, watu walizoeshwa kuw ukiajiliwa tu unaanza kukatwa, sasa kwa nini hawakukatwa halafu mnawambia ni wadaiwa sugu? Kama mmewajua wakateni kihalali na cy kuwakomoa!!!
  12. pilitics

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta rafiki/mpenzi ambae baadae atakuja kuwa mume

    Inawezekana ukampata tena wa kufanana naye, japo vigezo ulivyoweka cy vya kiushawishi.
Back
Top Bottom