Airport kuna VIP hivyo haijalishi mtu anapanda ndege gani, VIP ina ukumbi wa press conference.Emirates wana PRESS ROOM?
Mwenyewe yupo kimya sana, sijui safari hii itaibuka na nini?nahisi kuchoka na hbr za makonda sasa tena mbona namuandika? au yamepita
Labda aitwe na Bunge la Kenya kwa hili dingi yake hawezi kukubali hata kidogo.Bunge la Tanzania Galina uwezo wa kumwita Mh.Bashite Na kumwajibisha
Wewe unafanya kazi gani asubuhi ya J2 hii. Kwa nini atake watu wafuate sheria huku yeye akizivunja ??!!Acheni umbea fa.yeni kazi. Raisi ameamua iwe hivo mnalia nini sasa!!!
Ni kweli?Atakuwa kahongwa na wauza unga huyu!!?
Bashite anapingwa vita na wauza unga tu.....!
Usalama wake hapo VIP umezingatiwa? Nadhani angefanyia ndani ya Ndege ( possibly, EMIRATES) ingekuwa vyema dakika chache kabla ya kupaa kuelekea India.Airport kuna VIP hivyo haijalishi mtu anapanda ndege gani, VIP ina ukumbi wa press conference.
P
******Tanzania Daima sio gazeti la kulitegemea sana kwa sababu mrengo wake unaeleweka, Naamini sii kweli kuwa rais Magufuli amemzuia Makonda kuhojiwa na Bunge kwa sababu rais hana málaga hiyo. Ninachofahamu Makonda bado hajaitwa na Bunge wala hajawahi kuitwa mahakamani akagoma kwa sababu wito rasmi wa Bunge au Mahakama huletwa kwa samamsi inayotumwa kwa despach ambayo ni hand delivery na anapokea na kusaini kupokea. Siku ya siku asipotokea, anatumiwa arrest warrant anabebwa mzobe mzobe!.
Kuna vingi vya uongo kuhusu kadhia hii ndio maana nilisema hivi https://www.jamiiforums.com/threads...di-ya-mafanikio-yake-makonda-wapuuze.1208888/
Paskali