Recent content by pilau

  1. P

    KERO Ubungo riverside hatuna maji kwa siku 14 sasa

    Hakuna maji Ubungo riverside maeneo yote kuanzia daraja la Kijazi mkono wa kushoto .. no mambo ya AIBU sana Hakuna taarifa yoyote watu tunaishi kama tuko dunia ya miaka ya 40tatizo ninini.. Bili za maji wasomaji hawazingatii wanapita na kubambika mamba ambazo sio sahihi. DAWASA, DAWASA. Wizara...
  2. P

    Ajira Tume ya uchaguzi iangalie wanaosota mitaani badala ya kuajiri Walimu

    Inasikitisha wakati kuna vijana wanahangaika mjini kutafuta ajira bila mafanikio ni dhahiri kwamba baada ya tangazo la tume ya uchaguzi kutangaza nafasi za kazi kwaajili ya uchaguzi mkuu wengi waliojitokeza kuomba ni waajiriwa tayari. Wengi wao ni walimu na watendaji wa mitaa SERIKALI...
  3. P

    Natafuta mke wa kuoa

    Awe na umri wa miaka kuanzia 45 hadi 50... Awe mfanyakazi mawasiliano PM
  4. P

    Nakerwa na Wanawake wanaovaa kope za bandia

    Binafsi nakerwa Sana nikiangalia wanawake hasa Azam TV kwenye kipindi Cha sinema zetu. Wanawake wengi wameamua kuweka KOPE za bandia katika macho yao. Nawakumbusha tu HAMPENDEZI NA NI ATHARI KWA MACHO YENU SIKU SIO NYINGI Kwani Nani aliyewambia kwamba m apendeza?
  5. P

    DAWASA Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na ushauri

    Inabidi tumuombe waziri Awesu River side ubungo Hakuna maji siku nne. Na hii inajirudia Rudi Mara kwa Mara na Hakuna taarifa. Leo siku ya nne hakuna maji.. Upande wa kushoto kuelekea buguruni ukitokea daraja la Kijazi
  6. P

    Waziri Aweso hata ndani ya jiji tuna kero ya maji

    Tunaishi maeneo ya ubungo jirani na daraja la Kijazi kushoto kuelekea buguruni, River side maeneo ya mamia ya wakazi. Maji yanakatika siku mbili Hadi tatu. Dawasa hawatoi taarifa yoyote. Leo tarehe 20/10/2021 siku ya tatu Hakuna maji. Hii hali inajirudia Mara kwa Mara inatutesa...
  7. P

    Nimechanja Kinga ya COVID-19 na ninavyojisikia

    Baada ya kujihoji na kuangalia matukio na baada ya kupoteza baadhi ya marafiki kwa muda mfupi ambao Vifo vyao Ni kupoteza fahamu ghafla, presha juu, upumuaji wa shida na sukari kujitokeza na kwamba magojwa hayo hawakuwa nayo hapo swali ndipo nilipoamua kuachana na ubishi... Nimepata Kinga ya...
  8. P

    Utapeli wa vyakula kwa wasafiri

    Pesa ilivyokuwa ngumu. Nilisafiri kutoka Dar kuja Musoma, njiani kwenye vituo vta miji mbalimbali wauzaji wa vyakula wamekuwa sio waaminifu kabisa. Dodoma nauziwa kuku wanasema ni wa kienyeji kumbe ni kuku wa mayai aliyekomaa na kushindikana. Inapokuwa safarini usinunue kuku. Maeneo mengine...
  9. P

    Jengo la Tanesco Ubungo lifanywe Hostel za wanachuo

    Pamoja na Hilo... Kuna wataalamu wanaweza kubadikisha
  10. P

    Jengo la Tanesco Ubungo lifanywe Hostel za wanachuo

    Siwezi kujua lengo la shirika la umeme Tanesco kuhusu jengo lao lililoko Ubungo jirani na daraja la Kijazi. Lakini kwa muonekano kwa nje Ni Kama halitumiki. Kwa kuwa serikali ya AWAMU ya sita iko katika safisha safisha ya baadhi ya madudu yaliyoonekana yanazingua nchi na wananchi wake Basi...
  11. P

    Vyoo vya Wanafunzi Chuo cha Ardhi Morogoro ni hatari kwa afya za Wanachuo

    Chuo cha ARDHI Morogoro ni miongoni mwa Vyuo vikongwe vya Serikali ambavyo vinatoa wataalamu mbalimbali kwa ajili ya Sekta ya ARDHI Ni Jambo la kusikitisha ambalo inawezekana sio la kiungwana kuhusu hali ya vyoo vinavyotumiwa na wanachuo. Hakijulikani tatizo ni nini na nani anawajibika na...
  12. P

    Level seat na barakoa hazizingatiwi tena daladala za Dar

    Pamoja na kutangaziwa kupungua kwa maambukizi ya Corona. Hali ya kujikinga na kuchukua tahadhari haipo tena maeneo mengi Dar. Mabasi ya daladala yamekuwa yakijaza abiria bika kuzingatia maagizo yaliyotolewa. Daladala za Mbezi, Buguruni na Gongolamboto na mengine nyakati za usiku na asubuhi...
  13. P

    Inakuwaje tuambiwe Corona inapungua ilhali wagonjwa wanaongezeka?

    Pale unapoambiwa akili za kuambiwa changanya na zako China corona imefumuka tena mji mkuu wao. Marekani baada ya maandamano maambukizi yameongezeka. Kenya Uganda majirani zetu hakueleweki ... Lockdown isiwepo lakini tahadhari isimamiwe
  14. P

    Tahadhari za corona zinapuuzwa

    Katika hali isiyokuwa ya kawaida maeneo mengi ya jiji la Dar wakazi wake wameacha au kupunguza kuwa na tahadhari na ugonjwa huu .... Watu hawavai barakoa watu hawànawi kama ilivyokuwa siku chache gonjwa likipopamba moto. Mwanzoni ilikuwa tahadhari ipo kila mahala na hata ndani ya mabasi ya...
  15. P

    TANESCO mbona aibu

    Kwa muda wa siku kadhaa ifikapo majira ya jioni tunakosa umeme maeneo ya External hadi Ubungo Darajani. Sijaona tangazo au taarifa iliyotolewa ili sisi wadau tufahamu tatizo. Taa za barabarani pia haziwaki na kuzingatia Ubungo ni lango kuu la kuingia jijini na kunakuwa na msongamano wa watu ni...
Back
Top Bottom