Recent content by Pilato Msaidizi

  1. Pilato Msaidizi

    Mechi ya Yanga dhidi ya Simba, June 25 kuchezeshwa na Waamuzi kutoka Misri

    Hata aje achezeshe rais WA FIFA hatuleti timu
  2. Pilato Msaidizi

    B-2A Stealth Bomber yaruka angani kwa masaa 37 mfulilizo kwenda kupiga vinu vya nyukilia vya Iran

    Ningefurahi Kuona na sisi tz tunamiliki walau madude 5 kama haya
  3. Pilato Msaidizi

    Je, kati ya Dar, Arusha, Mwanza, Moro, & Dodoma, ni wapi kunamfaa kuishi mtu wa maisha ya chini na kati?

    Nenda Morogoro tena kajaribu maisha mkula, MANG'ULA,kiberege ikishindwa hapo vika kamcheki baada ya kuimaliza ifakara maisha ni simple kabisa huko
  4. Pilato Msaidizi

    Wabobevu wa mikopo naomba msaada wenu hapa

    Kwani wao Voda wanasemaje
  5. Pilato Msaidizi

    Kuna mtu kanunua umeme wa milioni 2 tumsaidiaje?

    Wiki moja mita inaharibika,na tanesco wanakuja kubadirisha mita na unit wanabeba
  6. Pilato Msaidizi

    Wanawake Wanapenda Madeni

    Uko sahihi kabisa tena hawajali kabisa,huku anadaiwa kule anaenda tena kukopa ni shida
  7. Pilato Msaidizi

    Trump ameivuruga dunia nzima na import tarrifs alizoziweka kwa bidhaa zinazoingia USA. Je dunia ikimsusia anaweza ku survive peke yake?

    Hapo sasa china aganye ushawishi na ulaya ianzishwe pesa nyingine kama ni euro kwa biashara ya kimataifa ili dollar iwekwe pembeni na tusifanye naye biashara ya aina yoyote magari atengeneze wauziane huko huko us,sisi wanyonge wote tutrade wenyewe,lazima aufyate trump
  8. Pilato Msaidizi

    Inawezekana hii mimba ikawa yangu?

    Oya mwana fanya hivi jiridhishe kwanza kama hiyo mimba Ina muda huo,Kisha fanya mahesabu tu ya mzunguko wake ulikoma lini, baada ya hapo jakiki mwisho wenu WA kikutana ilikuwa tarehe ngapi utapata jibu kama ni yako ama umevishwa
  9. Pilato Msaidizi

    Bukavu: maandalizi ya kujihami yaendelea

    Hivi m23 imeshindikana kweli,jeshi la congo linafanya kazi gani kushindwa kukiondoa hicho kikundi
  10. Pilato Msaidizi

    Jeshi la Rwanda ni lini litaondoka DRC?

    Hapo hakuna jumuiya ni usanii mtupu imejaa humo
  11. Pilato Msaidizi

    Burundi yaongeza wanajeshi Kivu Kusini

    Rais wa congo ni kama kiongozi asiyejiamini na jeshi lake,asingeweza kusumbiliwa na kanchi kadogo kama Rwanda,imagine sasa tanzania tunataka eneo congo SI tunalichukua mapema sana kwa udhaifu WA kiongozi wao MPENDWA kuongea bila action
  12. Pilato Msaidizi

    Hatimaye wizara ya ulinzi ya urusi yajitokeza na kukiri kwamba atacims zimeharibu miundombinu mbalimbali ya kijeshi

    Habari njema halafu sijawai kuona nuke bombs yakilipuka natamani niyaone,mungu ibariki ukraine pamoja nao Israel
Back
Top Bottom