Hapo sasa china aganye ushawishi na ulaya ianzishwe pesa nyingine kama ni euro kwa biashara ya kimataifa ili dollar iwekwe pembeni na tusifanye naye biashara ya aina yoyote magari atengeneze wauziane huko huko us,sisi wanyonge wote tutrade wenyewe,lazima aufyate trump
Oya mwana fanya hivi jiridhishe kwanza kama hiyo mimba Ina muda huo,Kisha fanya mahesabu tu ya mzunguko wake ulikoma lini, baada ya hapo jakiki mwisho wenu WA kikutana ilikuwa tarehe ngapi utapata jibu kama ni yako ama umevishwa
Rais wa congo ni kama kiongozi asiyejiamini na jeshi lake,asingeweza kusumbiliwa na kanchi kadogo kama Rwanda,imagine sasa tanzania tunataka eneo congo SI tunalichukua mapema sana kwa udhaifu WA kiongozi wao MPENDWA kuongea bila action
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.