Recent content by Pilato Msaidizi

  1. Pilato Msaidizi

    JamiiForums Tanzania Mechi ya Yanga dhidi ya Simba, June 25 kuchezeshwa na Waamuzi kutoka Misri

    Hata aje achezeshe rais WA FIFA hatuleti timu
  2. Pilato Msaidizi

    JamiiForums Tanzania B-2A Stealth Bomber yaruka angani kwa masaa 37 mfulilizo kwenda kupiga vinu vya nyukilia vya Iran

    Ningefurahi Kuona na sisi tz tunamiliki walau madude 5 kama haya
  3. Pilato Msaidizi

    JamiiForums Tanzania Je, kati ya Dar, Arusha, Mwanza, Moro, & Dodoma, ni wapi kunamfaa kuishi mtu wa maisha ya chini na kati?

    Nenda Morogoro tena kajaribu maisha mkula, MANG'ULA,kiberege ikishindwa hapo vika kamcheki baada ya kuimaliza ifakara maisha ni simple kabisa huko
  4. Pilato Msaidizi

    JamiiForums Tanzania Wabobevu wa mikopo naomba msaada wenu hapa

    Kwani wao Voda wanasemaje
  5. Pilato Msaidizi

    JamiiForums Tanzania Kuna mtu kanunua umeme wa milioni 2 tumsaidiaje?

    Wiki moja mita inaharibika,na tanesco wanakuja kubadirisha mita na unit wanabeba
  6. Pilato Msaidizi

    JamiiForums Tanzania Wanawake Wanapenda Madeni

    Uko sahihi kabisa tena hawajali kabisa,huku anadaiwa kule anaenda tena kukopa ni shida
  7. Pilato Msaidizi

    JamiiForums Tanzania Trump ameivuruga dunia nzima na import tarrifs alizoziweka kwa bidhaa zinazoingia USA. Je dunia ikimsusia anaweza ku survive peke yake?

    Hapo sasa china aganye ushawishi na ulaya ianzishwe pesa nyingine kama ni euro kwa biashara ya kimataifa ili dollar iwekwe pembeni na tusifanye naye biashara ya aina yoyote magari atengeneze wauziane huko huko us,sisi wanyonge wote tutrade wenyewe,lazima aufyate trump
  8. Pilato Msaidizi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Inawezekana hii mimba ikawa yangu?

    Oya mwana fanya hivi jiridhishe kwanza kama hiyo mimba Ina muda huo,Kisha fanya mahesabu tu ya mzunguko wake ulikoma lini, baada ya hapo jakiki mwisho wenu WA kikutana ilikuwa tarehe ngapi utapata jibu kama ni yako ama umevishwa
  9. Pilato Msaidizi

    JamiiForums Tanzania Bukavu: maandalizi ya kujihami yaendelea

    Hivi m23 imeshindikana kweli,jeshi la congo linafanya kazi gani kushindwa kukiondoa hicho kikundi
  10. Pilato Msaidizi

    JamiiForums Tanzania Kundi la Wawekezaji wakiongozwa na Elon Musk wametoa ofa dola bilioni 97 kununua OpenAi

    Kwani Elon aliinunua Twitter kwa ela ngapi
  11. Pilato Msaidizi

    JamiiForums Tanzania Jeshi la Rwanda ni lini litaondoka DRC?

    Hapo hakuna jumuiya ni usanii mtupu imejaa humo
  12. Pilato Msaidizi

    JamiiForums Tanzania Burundi yaongeza wanajeshi Kivu Kusini

    Rais wa congo ni kama kiongozi asiyejiamini na jeshi lake,asingeweza kusumbiliwa na kanchi kadogo kama Rwanda,imagine sasa tanzania tunataka eneo congo SI tunalichukua mapema sana kwa udhaifu WA kiongozi wao MPENDWA kuongea bila action
  13. Pilato Msaidizi

    JamiiForums Tanzania Hatimaye wizara ya ulinzi ya urusi yajitokeza na kukiri kwamba atacims zimeharibu miundombinu mbalimbali ya kijeshi

    Habari njema halafu sijawai kuona nuke bombs yakilipuka natamani niyaone,mungu ibariki ukraine pamoja nao Israel
  14. Pilato Msaidizi

    JamiiForums Tanzania Nimeandika sana kuhusu vita zinazoendelea ulimwenguni kwamba ni roadmap ya mwisho wa dunia

    Mwisho WA Dunia Bado sana labda Dunia ya mazombi
  15. Pilato Msaidizi

    JamiiForums Tanzania Ukraine yarusha makombora ya Uingereza kushambulia ndani ya Urusi kwa mara ya kwanza

    Good kazi iendelee malipo ni hapa hapa duniani
Back
Top Bottom