Recent content by Pikyatsi

  1. P

    Kwanini kalenda za kwenye simu hazioneshi mwaka 2040?

    Simu yako tu kaka, yangu ni Nokia inakwenda hadi 2050
  2. P

    Bima ya Afya

    Fika kwenye Ofisi yoyote ya Bima ya Afya (NHIF) ilyo karibu nawe watakujuza utaratibu mzima. Kima cha kuchangia kwa mwanachama ambaye si mtumishi wa umma (mjasiliamali) ni Sh. 968,500/= kwa mwaka na watakaonufaika na matibabu ni wewe mchangiaji, mwenza wako (mkeo/mumeo) na watoto wenu wenye umri...
  3. P

    Misemo inayoandikwa kwenye vyombo vya usafiri, we acha tu!

    Mengine ni " NJAA HAINA BAUNSA", "CHEZEA MSHAHARA USICHEZEE KAZI"
  4. P

    Ally Hassan Mwinyi Rais bora kabisa kuwahi kutokea Tanzania

    Ni sahihi kwa mawazo yako kutokana na umri uliokwa nao wakati huo na mengi unasimuliwa bila shaka na walioangalia upande mmoja wa shilingi. Sisi tuliouoa utawala wake ukiingia nakutoka tunaweza kuwa na maoni tofauti juu ya hilo. Kima cha chini cha mshahara kilipanda kila mwaka kwa miaka kumi...
  5. P

    Mafuta ya Alizeti nayo hatari kwa afya - TFDA

    Kwa kweli TFDA wameonyesha udhaifu wa hali ya juu kabisa kwani teku tukiumia afuta haya kwa zaidi ya miaka kumi sasa na kama ni madhara tayari tumeshayapata.
  6. P

    Influence ya Wachagga Vs Wakinga in Dar Es Salaam

    Iwe kwa matambiko au misukule kushuhwa ni kushushwa tu, haitofautiani na waliopanda kwa KUUA.
  7. P

    Jiunge na mfuko wa afya ya jamii!

    Nilihudhuria Mkutano moja wilayani Kisarawe Kata ya Mzenga, baada kuskia matangazo ya watu wa Bima ya Afya ya upimwaji wa Afya (kama miezi mtatu hivi iliyopita. Niliuliza swali kama hilo, na jibu nlilopewa ni kwamba Halmashauri yaWilaya intakiwa kuingia mikataba na hospitali binafsi zilizomo...
  8. P

    Influence ya Wachagga Vs Wakinga in Dar Es Salaam

    Kwani wewe hujui methliisemayo "Mpanda ngazi hushuka"?
  9. P

    Unapomwambia mzungu eti mtoto wa jirani kafa kwa kutumbukia chooni hakuelewi kabisa

    Masikini wewe, una mawazo ya kitumwa kabisa, waswahili wanasema msahau kwao ni mtumwa kumbe kweli. Basi wewe ukiona mzungu unadhani ni kila kitu, pole sana. Kwanza kajifunze uandishi ndipo ujitokeze kwa jamii au kuandika unachokiona kinafaa.
  10. P

    Huyu ndiye binti anayedai kubakwa na mume wa Flora Mbasha

    Kwa manno hayo tunweza kuem yee ndiye aliyembaka jamaa kwa muonekano huo ni ubakaji tosha, wasimpakazie Mbasha
  11. P

    Biashara ya kupangisha nyumba, Huwezi ukala faida wewe unayejenga

    Kweli kujenga ili upangishe ni hasara ni sawa na kutupa pesa yako chooni ili uisahau. hebu chukua milioni arobaini gawanya kwa laki mbili, ina maana utaanza kubreak even mwaka wa 15 tangu ulipojenga, wakati huo ndani ya miaka hiyo umefanya ukarabati uliotokana na uhalibifu wa mpangaji mara tatu...
  12. P

    Tuvae t-shirts tukiwa tunajua maana ya maneno yaliyoandikwa

    Anakijua sana kulichoandikwa, an anamaanisha kujitangaza,kwani mashoga wanjitangazae?
  13. P

    JamiiForums uelewa wa mambo test: Kila member ajibu maswali mawili kati ya haya 5

    1. Mimi ni muumini wa serikali moja 2. Nilijiunga na JF kutokana na ubora wa mada mbalimbali ambazo ki msingi zimenifungua uelewa wangu kwa kiwango kuzuri tu, ingawa kuna wana JF wengine wanaitumia vibaya JF kwa kuposti mada zisizo na mashiko.
  14. P

    Wavutaji wa sigara ni shida!

    Sikio la kufa halisikii dawa
  15. P

    mv magogoni imezama na watu

    Acha hizo siku ya wajinga kila mtu anaifahamu ila watu huisahau tu kwani haina mialiko ya pilau isipo kuwa kudanganyana tu.
Back
Top Bottom