asantehakuna marafiki wa kweli kama wavuta sigara na walevi...heshima kwao
hakuna marafiki wa kweli kama wavuta sigara na walevi...heshima kwao
hakuna marafiki wa kweli kama wavuta sigara na walevi...heshima kwao
We nyamaza unaijuwa sgara au unapiga kelele tu
Tatizo wavuta fegi huwa wanafikiri watu wote tunafurahia fegi!! Unakuta anawasha fegi ndani ya duka alilonunua sigara bila kujaki kuna wateja wengine!![/QUOTE
kweli kabisa yaani wanawashia hapohapo dukani halafu wanapuliza moshi bila kujali. Wanakera sana.
Asilimia 98.9 ya wavuta sigara ni matahira.