jogi
JF-Expert Member
- Sep 25, 2010
- 25,556
- 25,362
habari zilizonifikia punde ni kuwa meli hiyo imetoweka ipozama. juhudi za kuisaka zinaanza na upo uwezekano wakaitwa wataalam kutoka maleshia wenye uzoefu mkubwa wa matukio yanayofanana na haya.
tuwaombee wabunge wetu wa kuteulia na jk, manake ni kazi ngumu sana kufanya uteuzi.
tuwaombee wabunge wetu wa kuteulia na jk, manake ni kazi ngumu sana kufanya uteuzi.