mv magogoni imezama na watu

mv magogoni imezama na watu

habari zilizonifikia punde ni kuwa meli hiyo imetoweka ipozama. juhudi za kuisaka zinaanza na upo uwezekano wakaitwa wataalam kutoka maleshia wenye uzoefu mkubwa wa matukio yanayofanana na haya.

tuwaombee wabunge wetu wa kuteulia na jk, manake ni kazi ngumu sana kufanya uteuzi.
 
Ha!ha!ha!ha!ha.. Nimecheka saana baada ya kugundua leo ni presha day.
 
Itaibuka hiyo ndio kawaida yake kila trh 1 mwez wa 4 kujaribiwa kama ina uwezo wa kutembea chin ya maji
 
leo hii saa 12:30 asubuhi ya tarehe 1/4/2014 boti mv magogoni imeza na watu wote juhudi za uokoaji zinaendelea

Acha hizo siku ya wajinga kila mtu anaifahamu ila watu huisahau tu kwani haina mialiko ya pilau isipo kuwa kudanganyana tu.
 
leo hii saa 12:30 asubuhi ya tarehe 1/4/2014 boti mv magogoni imeza na watu wote juhudi za uokoaji zinaendelea

Ulipoweka tarehe ikaonyesha leo ni sikukuu ya wajinga

Hakamatwi mtu hapaaa.......:eyebrows:
 
pamoja na kwamba leo ni siku ya wajinga, hii sijaipenda sana! naifananisha na mtu anayejaribu kuwapigia simu watoto wenzie kuwapa taarifa za uong kuwa baba kafariki dunia, simply ni april fools day! This is rather stupid!

kuna utani wa kufanya sio huu wa mv magogoni
 
Leo ni tar 01/04/2014, ambapo inadhaniwa kuwa siku hii ni SIKU YA WAJINGA DUNIANI, huazimishwa na watu wajinga kama wewe uliyetoa mada inayojadiliwa.

umenena vyema,woote wanaoiadhimisha siku hii wanasifa zote za kuwa wajinga.Nawatakia kila lakher
 
Jaman sahamanin kwa ambaye anafahamu hili.Nani mwanzilishi wa madhimisho ya wajinga dunian? kwa hapa tanzania ofice iko wapi nipeleke msaada?
 
Back
Top Bottom