meningitis
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 8,464
- 4,828
- Thread starter
- #41
Zitawafikia mkuu!!!!!!mkuu wasalimie sana kina dokta MangoSongo na Lipwapwacha, kama bado upo tandahimba....
Zitawafikia mkuu!!!!!!mkuu wasalimie sana kina dokta MangoSongo na Lipwapwacha, kama bado upo tandahimba....
Zitawafikia mkuu!!!!!!
Tunashukuru kwa taarifa. Ila ni matibabu yapi hayo ya kawaida?
Mfano iwapo patatokea mgonjwa na akalazwa hspt isiyokuwa ya serikali na anaugua let say figo, je hiyo account inaacomodate hayo matibabu?
jiulize ni wangapi wanaolipia cash wanasumbuliwa?Ayoo ni maneno tu ndugu yangu ,ukweli ni wangapi wenye mifuko ya bima ya afya wanasumbuliwa? Mimi naona ukiwa na kadi yako ya bima nenda na pesa za ziada ukiona wanazingua toa pesa tibiwa jari afya yako mzee
Ki ukweli hiyo yaweza kuwa changamoto na utatuzi wake naweza kuuweka katika hatua mbili au tatu hivi.CHF Ina Changamoto Nyingi Kwani Kwa Huku Kiteto Kila Kaya Inatakiwa Ichangie 10000 Kwa Mwaka Lakini Wilaya Ya Kiteto Ni Kubwa Sana Hali Inayolazimu Wanachama Kwenda Wilaya Za Jirani Pale Wanapopewa Rufaa Kutoka Zahanati Au Vituo Vya Afya Sasa Wakienda Huko Wanachama Hulazimika Kuchangia Je Huoni Kuwa Ni Tatizo?
Wakandarasi wa barabara kwa ushauli wa bule jitahidini kuchora alama kuonyesha kivuko nikiwa na mana zebra sehemu kama mashuleni, vivuko vya wanyama na waenda kwa miguu, mfano mzuri shule ya mzingi mtoni wilaya ya Temeke na sehemu nyingine nyingi,