Shetani na Mungu walipigana vita na Mungu akamshinda.naye akatupwa duniani.hivyo vita havipo tena kati yao.ila.vita vimeamia kwa binadamu maana alimdanganya binadamu na kumwingiza kwwnye giza nene
Tutalaumiana bure,lakini tunaosoma biblia tumeshajua kuwa asubuhi imeisha,mchana umeisha,jioni ndio hiyo inapotea.hizi wapendwa ni nyakati za mwisho.Muda huu ni muda wa kumtafuta Mungu sana.
makosa gani ,hakuna makosa,soma biblia ufunua.nyakati za mwisho ni nyakati hatari.matetemeko,njaa,tauni,mafuriko.vyote hivyo vimetabiriwa.hivyo kwa sisi tunaona hakuna geni.jitaidi kumtafuta Mungu muda haugandi
Kutohudhuria kikao bunge sio mwisho wa ubunge.mbunge unaweza kukoma kama umeshindwa kuhudhuria katika vikao vitatu vya bunge.wanaposema vikao vitatu vya bunge ni kuwa kila mwaka kuna vikao vitatu.
Sasa vikao hivyo hakuonekana hata kimoja.vikao vitatu ni mkao wa 1,2,3 kwa mwaka huu,hiki ni kikao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.