Recent content by pijala

  1. pijala

    Inaonekana kuna uhusiano kati ya Mungu na Shetani

    Shetani na Mungu walipigana vita na Mungu akamshinda.naye akatupwa duniani.hivyo vita havipo tena kati yao.ila.vita vimeamia kwa binadamu maana alimdanganya binadamu na kumwingiza kwwnye giza nene
  2. pijala

    Toka ingie korona sishibi, resho imepunguzwa

    Yaani mjomba apunguze zaidi
  3. pijala

    CORONA INA NINI TZ?

    Tutalaumiana bure,lakini tunaosoma biblia tumeshajua kuwa asubuhi imeisha,mchana umeisha,jioni ndio hiyo inapotea.hizi wapendwa ni nyakati za mwisho.Muda huu ni muda wa kumtafuta Mungu sana.
  4. pijala

    Mkurugenzi wa Ubungo aomba radhi kwa kumtengua Meya Boniface Jacob

    Umefanya jambo la busara,ila mmm umeacha maswali mengi.
  5. pijala

    Wanna tuache ubishi,Kuna mahali tumekosea.

    makosa gani ,hakuna makosa,soma biblia ufunua.nyakati za mwisho ni nyakati hatari.matetemeko,njaa,tauni,mafuriko.vyote hivyo vimetabiriwa.hivyo kwa sisi tunaona hakuna geni.jitaidi kumtafuta Mungu muda haugandi
  6. pijala

    GE2020 Kura yangu 2020

    Afadhali na wewe hatupiga kura wenzio tunawaza kuwa tutafika mwaka ujao
  7. pijala

    TANZIA: Wizara ya Elimu yapata msiba mzito, Bi Rose Mwakipesile amefariki jijini Dodoma

    Toa taarifa vizuri alikuwa ni nani katika wizara hiyo.sio wote wanamfahamu.
  8. pijala

    Je, ni sahihi kuwalipa mshahara wabunge wanaokimbia kujadili bajeti ya Wananchi? Je, hawatapoteza ubunge wao?

    Kutohudhuria kikao bunge sio mwisho wa ubunge.mbunge unaweza kukoma kama umeshindwa kuhudhuria katika vikao vitatu vya bunge.wanaposema vikao vitatu vya bunge ni kuwa kila mwaka kuna vikao vitatu. Sasa vikao hivyo hakuonekana hata kimoja.vikao vitatu ni mkao wa 1,2,3 kwa mwaka huu,hiki ni kikao...
  9. pijala

    Ufunuo usiosemwa: Je, Lilith ndio nyoka wa Eden? Je, ni mke wa kwanza wa Adam?

    Naendelea kufuatili ila kuna ukweli ndani yake
Back
Top Bottom