OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,170
- 103,634
Mkurugenzi wa Manispaa ya Ubungo Bi.Beatrice Dominic amekiri kufanya makosa kwa kupokea barua ya watu waliojiita viongozi wa Chadema kata ya Ubungo na kuifanyia kazi bila kujiridhisha.
Barua hiyo ya kughushi iliyodai kumfutia uanachama wa Chadema Meya wa Manispaa hiyo @mayor_bonifacejacob ilidaiwa kuandikwa na Katibu wa zamani wa Kata hiyo Bw.Ashery Mlagwa lakini haikuwa kweli. Mkurugenzi ameomba radhi na kuahidi kuandika barua nyingine ya kubatilisha (nulify) barua yake ya awali.!
My Take
Mkurugenzi amekidhi vigezo vyote vya kupanda cheo. Humprey Polepole this madam is very very polential apewe ukatibu mkuu wa wizara kama sio ukurugenzi wa jiji