kimsingi tumezidiwa kimbinu na kiuwezo,plus ukishakuwa na wachezaji wazito uwanjan sasa ndio balaa...Ansensio ni kama anatalii humo ndani,haonekani yupo wapi na anafanya nini?yeye na Rudiger ni kama wana ugomvi..hakuna anayemtuma mwenzake,upande wa Garcia ndio kama kiberenge,mbio nyingi ila ni...