Recent content by pierre tall

  1. pierre tall

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

    Ok...thanks kwa taarifa hii.
  2. pierre tall

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

    Matokeo ya uchaguzi vipi huko?au bado hayajatoka?
  3. pierre tall

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

    Kuna Carvajal kuondoka...maana yake kile kizazi chetu cha dhahabu kimeisha chote,sasa Mou aje atutengenezee timu ya ushindani haswa...hawa hawa waliopo ni kuwa wanakosa mtu mkaksi mwenye kauli ya mwisho,timu kama ukoo wa kambale bhana hadi watu wanapigana aisee.
  4. pierre tall

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

    Kama tukibaki na wachezaji hawa ni muhimu sana Mou aje.
  5. pierre tall

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

    kimsingi tumezidiwa kimbinu na kiuwezo,plus ukishakuwa na wachezaji wazito uwanjan sasa ndio balaa...Ansensio ni kama anatalii humo ndani,haonekani yupo wapi na anafanya nini?yeye na Rudiger ni kama wana ugomvi..hakuna anayemtuma mwenzake,upande wa Garcia ndio kama kiberenge,mbio nyingi ila ni...
  6. pierre tall

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

    Watu wanakaba kwa macho na hawawez kukaa na mpira.
  7. pierre tall

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

    Ukishaona beki ni Ansencio na Rudiger na kushoto ni Garcia ujue hapo ni maumivu tu
  8. pierre tall

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

    Leo siyo tutapigwa kama ngoma kwel wazee?
  9. pierre tall

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

    Wazee ile mechi ya jana na hata ile first leg imetuonyesha namna timu yetu haina balance kabisa,haswa eneo la kati na zaidi ni wakat wakushambuliwa..tuna viungo wakabaji average sana,very slow kwenye event nakufanya maamuzi na kimsingi ni kuwa eneo la kiungo ukitoa huyu dogo Guler ambaye anapika...
  10. pierre tall

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

    Neur kama vile kichwan mwake anasema,leo sitaki aibu ndogo ndogo kwa watoto nyie...
  11. pierre tall

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

    Brahim ana uwezo mkubwa wakuusoma mchezo akitokea benchi,ni kama Ozil wakat ule.
  12. pierre tall

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

    Hii leo tumelala wazee.
  13. pierre tall

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

    Kama kawaida kipa wetu nakufungwa magoal ya mbali..
  14. pierre tall

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

    Tchoumen kazidiwa mnooo...anakaba kwa macho sanaa aisee
  15. pierre tall

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

    Qmaninaa...hizi beki zetu leo zinafanya kazi gani hapa🤬🤬🤬
Back
Top Bottom