Mafuriko huwa yanakuja wakati mvua zinavyozidi kunyesha, tume zimeundwa TATU, na majibu yako Sawa, Wale watafiti wenzangu I mean Profs and Drs mko wp? Mbona Leo hii mnakataa vyeti vyenu? Mambo yaliyofanyiwa research mnayakataa AMA Kweli njaa haina adabu kwa mwanadamu, ukweli ni kwamba mafuriko...