Mpaka Kieleweke
JF-Expert Member
- Feb 27, 2007
- 4,132
- 1,571
Leo ni leo katika kata ya Miono ambako ni nyumbani kwa Marehemu Said Bwanamdogo ,uzinduzi wa kampeni za Chadema utaanza kuanzia saa nane mchana leo , hamasa ni kubwa sana Miono na hasa baada ya jana CCM kuzindua kampeni zao kwenye eneo hilo na kudoda.
Hapa , ni nyumbani kwa Wazigua ambao wana hasira sana baada ya kifo cha utata cha kijana wao Said Bwanamdogo, ambaye alikuwa ni Mzigua wa kwanza kuwa mbunge wa Chalinze, kwani Chalinze imekuwa chini ya utawala wa Wakwere kwa kipindi chote tangu uwepo, leo CHADEMA wanapeleka Mmasai ambaye ni Mwenyeji,CCM wameamua kumpeleka mwana mfalme , eti sifa yeye ni mtoto wa Rais , baba yake amekuwa mbunge wa Chalinze kwa miaka 15 , ila ameshindwa kutatua changamoto za Jimbo husika, mtoto ataweza kuziattach kweli!
CHADEMA , leo wanataka kushangilia ushindi wa Kalenga Chalinze , wanataka kuwa onyesha wananchi wa Chalinze kuwa ni watu muhimu sana kwao ndio maana wanazindua leo....
Nitawaletea live updates ya kinachojiri ....
Hapa , ni nyumbani kwa Wazigua ambao wana hasira sana baada ya kifo cha utata cha kijana wao Said Bwanamdogo, ambaye alikuwa ni Mzigua wa kwanza kuwa mbunge wa Chalinze, kwani Chalinze imekuwa chini ya utawala wa Wakwere kwa kipindi chote tangu uwepo, leo CHADEMA wanapeleka Mmasai ambaye ni Mwenyeji,CCM wameamua kumpeleka mwana mfalme , eti sifa yeye ni mtoto wa Rais , baba yake amekuwa mbunge wa Chalinze kwa miaka 15 , ila ameshindwa kutatua changamoto za Jimbo husika, mtoto ataweza kuziattach kweli!
CHADEMA , leo wanataka kushangilia ushindi wa Kalenga Chalinze , wanataka kuwa onyesha wananchi wa Chalinze kuwa ni watu muhimu sana kwao ndio maana wanazindua leo....
Nitawaletea live updates ya kinachojiri ....