Mtoa mada huna jipya, pia sikatai Elimu ukiwa nayo itakufaa sana, anyway kumbuka JF is home of Great thinkers, tangu dunia imeumbwa mwanadamu amekuwa kiongozi tokea adamu mpaka leo, nnachotaka kusema ni kwamba,, NCHI/JAMII inaongozwa na wenye hekima tuu! Ndo maana jambo gumu likiwashinda wasomi utasikia tunaomba hekima itumike, hapo utakuwa umejibiwa, HEKIMA NI ZAIDI YA VYUO NA MIPAKA YA UPEO WA MWANADAMU its Gods gift, NB, BAKHRESSA et Al wanalisaidia Taifa in way around, fikiri zaidi kuliko kusema/kuropoka.