Makundi ya Tembo yamevamia katika baadhi ya vijiji vya kata ya Lubungo wilayani Mvomero kijiji cha vianzi kitongoji cha Menge mkoani Morogoro na kuharibu mazao kwa mara nyingine tena.
Mmoja wa waathiriwa na Tembo hao Bwn Jeremiah Tayari na Bwan Mwombeki wamesena hii ni mara ya pili sasa kutokea...
Mkuu wa wilaya ya Mvomero nashukuru kwa kulifuatilia swala hilo la ukatili alilofanyiwa mama Fatuma Hasani Diawi, lakini katika swala hilo polisi wanataka kujenga kitu mpaka sasa, baada ya kulifikisha hilo swala mahakamani, wanamtaarifu mlalamikaji kuwa taarifa zote atapata kutoka kwa mtendaji...
Nitashukuru pia kama nitapata namba maana tunahitaji msaada zaidi juu ya swala hilo,ukiangalia kwa sura ya juu unaweza kujua hali ni shwari lkn kiukweli wakulima tunateseka
Najiuliza hivi serikali inajua kinachotokea Morogoro kupigwa kwa wakulima wawili na wafugaji kwa vijiji viwili tofauti mmoja Doma na mwingine Menge/vianzi wilaya ya mvomero?wafugaji nguvu ya kufanya hivyo wanaitoa wapi?
Kuna mkuu wa wilaya na mkuu wa mkoa tafadhari tupieni sana jicho wilaya ya...
Najiuliza hivi serikali inajua kinachotokea Morogoro kupigwa kwa wakulima wawili na wafugaji kwa vijiji viwili tofauti mmoja Doma na mwingine Menge/Vianzi wilaya ya Mvomero? Wafugaji nguvu ya kufanya hivyo wanaitoa wapi?
Kuna mkuu wa wilaya na mkuu wa mkoa tafadhari tupieni sana jicho wilaya...
si kweli toa ushahidi kuwa baada ya kumzaa yesu alikuwa na watoto wengine hizo ni propaganda tu yeye alibaki na ubikira wake,wap katika bible panapoonesha alizaa tena!!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mh.Raisi JPM bado hujaifikia kero yangu,hakuna utendaji pasipo maagizo yako ya moja kwa moja kero yangu ni wafugaji kuingiza mifugo kwenye mashamba ya wakulima mkoani morogoro wilaya ya mvomero kijiji cha menge kata ya mzumbe kitongoji cha vianzi.barua ya malalamiko imepelekwa kwa mkuu wa wilaya...
Ndg zangu wanajopo mimi ni mkulima natafuta njia ya kuwasiliana na wale wachina wanaotoa mbegu ya mihogo yeyote anayejua njia ya kuwasiliana nao tafadhali anijuze haraka
Mh. Mkuu wa Wilaya mnatuhamasisha kulima ili kuepuka njaa na kujipatia kipato lakini hakuna haki kwa mkulima ila kinachoonekana mfugaji ndiyo mwenye haki. Au sheria inamsimamia mfugaji pekee? Wanapata wapi ujasili wa kuingiza mifugo kwenye shamba la mkulima, hiko kiburi anatoa wapi?
Kama...
Sio kuwa hakuna mwarobaini,hapana ila kuna jamaa wanatumia njii hii kupiga dili coz hata watendaji wa vijiji wanajua hilo,na wanapiga dili wakati watu wanakufa na wengine wanaumia hii maana yake nn?na hasa naumia pale ninapoona mwenyekiti wa kijiji cha mafulu wilaya mvomero amesingiziwa mwizi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.