Vurugu za wafugaji Morogoro, mfupa ulioishinda serikali

Vurugu za wafugaji Morogoro, mfupa ulioishinda serikali

Ngapulila

JF-Expert Member
Joined
Dec 14, 2013
Posts
841
Reaction score
750
Hivi karibuni wafugaji mkoani Morogoro wamefikia hatua ya kuachia mifugo kuzurura hadi kwenye makazi ya watu mjini.Taharuki hii insonyesha dhahiri shahiri kuwa serikali imeshindwa kupatia ufumbuzi wa kudumu changamoto hii ya wafugaji.

Imekuwa n kawaida kwa Mkoa wa Morogoro kuchukua nafasi katika vyombo vya habari juu ya mtifuano wa wakulima na wafugaji kugombea maeneo ya kufanyia shughuli zao.Tukiweka kumbukumbu sawa Mkuu wa Mkoa ailiyepita ailitumbuliwa kwasababu ya kukithiri kwa migogoro hii bila ufumbuzi kwa muda mrefu

Swali ni Je,Serikali imekosa kabisa mwarobaini kutatua aibu hii?

Athari za hali hii kukosa ufumbuzi ni pamoja na kukosekana kwa amani ikiwamo uharibifu wa Mali na vifo.Sitaki kuamini kuwa serikali ya Mkoa imeshindwa mm naamini serikali ikiamua hakuna litakaloshindikana.Vinginevyo Serikali ya Mkoa ijitathmini
 
Sio kuwa hakuna mwarobaini,hapana ila kuna jamaa wanatumia njii hii kupiga dili coz hata watendaji wa vijiji wanajua hilo,na wanapiga dili wakati watu wanakufa na wengine wanaumia hii maana yake nn?na hasa naumia pale ninapoona mwenyekiti wa kijiji cha mafulu wilaya mvomero amesingiziwa mwizi wa ng'ombe na kuuwawa kwa hila lakini serikal mpaka Leo imekaa kimya wakati wananchi wanajua kwann mwenyekiti wa kijiji hicho amekufa!!!?serikal kama ingekuwa inania ya dhati kuondoa migogoro hiyo waalifu wange shughulikiwa lakin kwann wanaachwa ni bila shaka ni dil tu,tunaomba serikal hiache siasa katika hil,na nyie mnao watumia wafugaji kama mtaji jueni wakulima wanateseka.nimesema kwakuwa naumia kama nitafungwa kwa hilo nifungeni Mimi ni mkulima na mtoto wa mkulima baba yangu amenusurika kuuwawa Mara tatu mimi nilinusurika mara moja na kesi hiko polisi tumeshindwa kumkamata mfugaji kwasaba hatuna uwezo wa kumkamata,ila jueni hipo cku tutachoka,mwananchi toka kijiji cha menge kitongoji cha vianzi
 
Sio kuwa hakuna mwarobaini,hapana ila kuna jamaa wanatumia njii hii kupiga dili coz hata watendaji wa vijiji wanajua hilo,na wanapiga dili wakati watu wanakufa na wengine wanaumia hii maana yake nn?na hasa naumia pale ninapoona mwenyekiti wa kijiji cha mafulu wilaya mvomero amesingiziwa mwizi wa ng'ombe na kuuwawa kwa hila lakini serikal mpaka Leo imekaa kimya wakati wananchi wanajua kwann mwenyekiti wa kijiji hicho amekufa!!!?serikal kama ingekuwa inania ya dhati kuondoa migogoro hiyo waalifu wange shughulikiwa lakin kwann wanaachwa ni bila shaka ni dil tu,tunaomba serikal hiache siasa katika hil,na nyie mnao watumia wafugaji kama mtaji jueni wakulima wanateseka.nimesema kwakuwa naumia kama nitafungwa kwa hilo nifungeni Mimi ni mkulima na mtoto wa mkulima baba yangu amenusurika kuuwawa Mara tatu mimi nilinusurika mara moja na kesi hiko polisi tumeshindwa kumkamata mfugaji kwasaba hatuna uwezo wa kumkamata,ila jueni hipo cku tutachoka,mwananchi toka kijiji cha menge kitongoji cha vianzi
Matukio yamezidi had I sasa inakera.Kama ni utawala wa sheris tungeona mabadiliko.Bila shaka kuna wapiga dili wananufaika sana na huu mmgogolo wa wakulima na wafanyakazi

Kwa harakaharaka mm mwananchi wa kawaida naamini hatuna watu sahihi kutuletea majibu sahihi kwakuwa kama ni mfumo tunao mfumo mzuri tatizo watu tuliwapa dhamans ni ama wanatulizwa na rushwa au siasa imechukua nafasi
 
Hivi karibuni wafugaji mkoani Morogoro wamefikia hatua ya kuachia mifugo kuzurura hadi kwenye makazi ya watu mjini.Taharuki hii insonyesha dhahiri shahiri kuwa serikali imeshindwa kupatia ufumbuzi wa kudumu changamoto hii ya wafugaji.

Imekuwa n kawaida kwa Mkoa wa Morogoro kuchukua nafasi katika vyombo vya habari juu ya mtifuano wa wakulima na wafugaji kugombea maeneo ya kufanyia shughuli zao.Tukiweka kumbukumbu sawa Mkuu wa Mkoa ailiyepita ailitumbuliwa kwasababu ya kukithiri kwa migogoro hii bila ufumbuzi kwa muda mrefu

Swali ni Je,Serikali imekosa kabisa mwarobaini kutatua aibu hii?

Athari za hali hii kukosa ufumbuzi ni pamoja na kukosekana kwa amani ikiwamo uharibifu wa Mali na vifo.Sitaki kuamini kuwa serikali ya Mkoa imeshindwa mm naamini serikali ikiamua hakuna litakaloshindikana.Vinginevyo Serikali ya Mkoa ijitathmini
Mada nzuri sana, nyongeza tu ni kuwa viongozi wasasa wamefumbia macho ukweli. Miaka kama saba iliyopita rais aliutangaza mkoa wa morogoro kuwa national granary, chakushangaza ni kuwa hakuna juhudi zozote zilizofanywa ili kuboresha uzalishaji wa mazao ya Kilimo badala yake Ardhi bora ya Kilimo anakaliwa na Makundi ya Mifugo, serikali inasahau kuwa kabla na baada ya Uhuru mkoa wa morogoro ndio uliokuwa ukizalisha chakula kwawingi kuliko mikoa yote, serikali inasahau kuwa eneo kubwa LA wilaya ya Mvomero lilikuwa na mashamba yaliyopimwa na kumilikishwa kwa wakulima. Wamiliki wengi waliojaribu kuendeleza mashamba yao wanakumbana na vikwazo vingi ikiwemo wizi na trespassing.

Kwasasa kama hali itaachwa kuwa hivi si tu kwamba migogoro itakomaa bali future ya wakulima na wafugaji haitabiriki
 
Sio huko tu mkuu. Huko Ikwiriri Rufiji kunafukuta muda si mrefu mapogano na mauaji yatajirudia tena kama mwaka juzi. Hawa wafugaji ni watu washari sana. Hawajali kuwa wenzao wameshagharamika kuandaa mashamba mpaka yanafikia steji nzuri ya mimea shambani wanaingiza mifugo na kuteketesha mazao yote.
Serikali hiko serious juu ya tatizo hili.
 
wafupaji warudi kwao wanataka kuigeuza hii nchi jangwa kama kule simanjiro na meatu....siwapendi kbs hawa wafugaji
 
wafupaji warudi kwao wanataka kuigeuza hii nchi jangwa kama kule simanjiro na meatu....siwapendi kbs hawa wafugaji
No ajabu sana tukio la mifugo kuingia kwenye makazi ya watu mjini Morogoro mara Mbili likarushwa kwenye TV

Ni uzalilishaji wa taiga kama visa vya kuuawa RAIA kwa kugombea maeneo ya kufanyia kazi yakawa no ya kawaida bila ufumbuzi

Ni aibu na fedheha kazi ya mkulima anayetegemea kujikomboa kiuchumi kufitibishwa dakika za mavuno kisa tu mifugo imekula mazao tena chini ya ulinzi wa mfugaji

Ni aibu sana kwa kamati za ulinzi na usalama kusuasua kuchukua hatua halo wakijua kuna mapigano yamefanyika Lisa wakulima na wafugaji wanagombea maenao ya shughuli zao

Ni aibu kwa taifa kama tunaharibu Ardhi Lisa tu mipango yetu ya utumizi wa adhi kwa kilimo na mifugo haisimamiwi inavyotakiwa

Mheahiwa Raisi naomba uingilie kati.Kwa mtazamo wangu hii no hujuma kwa utawala wa aqamu ya tank.Ndio unahujumiwa na hawa wanaochelea kuchukua hatua bila sababu za msingi
 
Jamani huo sio mgogoro bali ni mradi maalumu wa watu kujinufaisha,kuna mgogoro fulani wa wakulima na wafugaji maeneo ya chalinze baada ya kuishi katika maeneo yale na kuufuatilia nikagundua mgogoro kati ya wakulima na wafugaji ni moja ya biashara nzuri sama.MIMASAI INALIWA HELA SIO MCHEZO,watu wanakula nyama za ng'ombe na kunywa bia sio bia sio mchezo.Watu wanapewa ming'ombe na hela juu,wamasai wanajua kutoa rushwa sio mchezo
 
Viongozi wa serikali na wanasiasa wamewekeza mifugo kwa wafugaji kwa hiyo tatizo hilo haliwezi kwisha kwa kuwa kuna conflict of intrest.Ni ukweli unaouma sana.Viongozi wanatanguliza maslahi yao mbele ya maisha ya wananchi.Very sad.
Hivi karibuni wafugaji mkoani Morogoro wamefikia hatua ya kuachia mifugo kuzurura hadi kwenye makazi ya watu mjini.Taharuki hii insonyesha dhahiri shahiri kuwa serikali imeshindwa kupatia ufumbuzi wa kudumu changamoto hii ya wafugaji.

Imekuwa n kawaida kwa Mkoa wa Morogoro kuchukua nafasi katika vyombo vya habari juu ya mtifuano wa wakulima na wafugaji kugombea maeneo ya kufanyia shughuli zao.Tukiweka kumbukumbu sawa Mkuu wa Mkoa ailiyepita ailitumbuliwa kwasababu ya kukithiri kwa migogoro hii bila ufumbuzi kwa muda mrefu

Swali ni Je,Serikali imekosa kabisa mwarobaini kutatua aibu hii?

Athari za hali hii kukosa ufumbuzi ni pamoja na kukosekana kwa amani ikiwamo uharibifu wa Mali na vifo.Sitaki kuamini kuwa serikali ya Mkoa imeshindwa mm naamini serikali ikiamua hakuna litakaloshindikana.Vinginevyo Serikali ya Mkoa ijitathmini
 
Mheshimiwa Rais nakuomba uingilie kati.Hawa ni wapiga kura wako. Sema neno moja tu wakulima na wafanya kazi wakae kwa amani tujenge nchi
 
Hivi karibuni wafugaji mkoani Morogoro wamefikia hatua ya kuachia mifugo kuzurura hadi kwenye makazi ya watu mjini.Taharuki hii insonyesha dhahiri shahiri kuwa serikali imeshindwa kupatia ufumbuzi wa kudumu changamoto hii ya wafugaji.

Imekuwa n kawaida kwa Mkoa wa Morogoro kuchukua nafasi katika vyombo vya habari juu ya mtifuano wa wakulima na wafugaji kugombea maeneo ya kufanyia shughuli zao.Tukiweka kumbukumbu sawa Mkuu wa Mkoa ailiyepita ailitumbuliwa kwasababu ya kukithiri kwa migogoro hii bila ufumbuzi kwa muda mrefu

Swali ni Je,Serikali imekosa kabisa mwarobaini kutatua aibu hii?

Athari za hali hii kukosa ufumbuzi ni pamoja na kukosekana kwa amani ikiwamo uharibifu wa Mali na vifo.Sitaki kuamini kuwa serikali ya Mkoa imeshindwa mm naamini serikali ikiamua hakuna litakaloshindikana.Vinginevyo Serikali ya Mkoa ijitathmini
Mkuu mbona Leo tu kuna mkulima ametobolewa mkuki na umetokea upande wa pili na hawa wafugaji makatili. Kuna uzi nimeuleta hapa jamvini.
 
Mmmmnh!Hiii hatari sasa.Serikali iamke kama inavyoshughurikia suala la Faru John[/QUOTE


Nimetazama picha ya mhanga aliyechomwa mkuki shingoni kwa kweli inasikitisha.

Tunawashukuru madaktari waliofanikisha kuutoa mkuki na kunusuru maisha ya huyu mkulima

Ni wazi kuwa timefeli na hayo tuliyoshuhudia ni matokeo halisi ya kufeli.

Serikali iamke sasa kwa sababu matokeo mengine zaidi pindi yaketoke zaidi itakuwa aibu kubwa zaidi
 
Back
Top Bottom