Recent content by Phile E Gobre

  1. P

    Maiti Akutwa na Kete 65 za dawa za Kulevya mkoani Mbeya...

    Kupenda fedha ni anasa hata vitabu vitakatifu vimeandika hivyo.ITAKUFAA NINI?
  2. P

    Umahiri katika kutibu magonjwa

    Ninani awezaye kuwa dokta
  3. P

    Ìhawaga ps

    Walimu wa ihawaga wapo juu kwani wanajua kujishughulisha hasa za vinyunguni
  4. P

    Mpira tanzania

    Tanzania ina mpira mzuri lakini chanzo cha ligi yetu kutokufikia viwango vya kimataifa ni: 1.mipangilio hasi katika vilabu. 2. Tunaiga mf:watz mfumo tunaotumia ni wa england 3.viongozi waliopo wako kimaslahi zaidi 4.mitaala ya elimu imeweka mchezo kama kipengele cha ziada hasa ngazi za primary...
  5. P

    zip ya suruali ikinasa kwenye ngozi ya mdudu utaitoaje?

    Utaenda kuoga na povu la sabuni kwa sana tena unafuta hisia zote za ng'ambo
  6. P

    Mdudu huyu kwa lugha yako unamuitaje? Je anafanya kazi gan?

    Amaxupi na kazi yake ni kufafanua majira mbalimbali ya mwaka mf: muda wa masika ukiwadia wanapiga kelele na kutoka nchi kavu.
  7. P

    Natafuta mtu wa kunifanyia massage

    Namtafuta mtu mcha mungu ambaye hatojali mengineyo zaidi ya mungu
  8. P

    Mwanzo wa mwezi

    Umoja wa mataifa liingilie kati suala la ugaidi
Back
Top Bottom