Sawa, ila mwanzilishi wa mihadhara ni Ustaadh Ngariba, hatunae tena hapa duniani , alifanya mihadhara muda si mrefu akafa, naona wengi hawamjui,
Mazinge alikuja baadae, hata mimi niliwai kuongea nae pale Mnazo mmoja alikuwa yupo yupo tu ila muongeaji mzuri.