Wakuu habari ya Jumapili;
Nina mategemeo ya kupata kiasi fulani hivi cha pesa kinachoweza kununua basi dogo kama coaster/civilian/Rosa, naomba ushauri kwa wenye uzoefu wa hii biashara kuanzia soko, usimamizi, gharama za uendeshaji n.k nione ni jinsi gani ntaweza kujipanga na changamoto...
Watu wanatembea na maradhi ila mara nying inakua ni siri kati yao na watu wao wa karibu, kwa mtu baki unaweza kudhani ni ghafla kumbe mtu ni mgonjwa miaka na miaka anahesabiwa siku tuuu
Mkuu hizo zote ni harakat tu za maisha ndio zimempelekea kufanya kazi bar, ila kimsingi kama ni wa kutulia atatulia tu kama umemuelewa weka mzigo ndani jilie vinono
Dear all, naombeni msaada ni hatua gani za kufuata endapo utapoteza vyeti vya taaluma, kuanzia cha kuzaliwa, SCEE, ACSEE na Professional certificates...
Vinahitajika na muajiri
Taarifa inasema RAS na dereva wake wote wamefariki kwnye ajali lkn taarifa zote za ziada zinatoa maelezo kumhusu RAS peke yake hata RIP za wasomaji zinamlenga RAS pekee, najiuliza tu huyu dereva na familia yake hawaihitaji hizo RIP na faraja kwa kuondokewa na mpendwa wao au sio kipaumbele...
Huyo atapiga marufuku ulaji wa madikodiko kitu ambacho anakipiga vita kwa nguvu zake zote... Tutakula matambele mpka tuwe wa kijani... hatuhitaji wasomi kama huamini muulize Lipumba!
Hivi nyie mambwiga mliskiliza salam za shukran kwa niaba ya ukoo kutoka kwa Fred pale karimjee? Mbona alimtaja kwa heshma zote hamkuskiliza? Kilichotokea kwny richmond ni ajali ya kisiasa tu! Na kuhusu jina lake kukatwa 2015 yale hayakua maamuzi ya mzee Kikwete peke yake, kamati ya viongozi wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.