Recent content by pharaoh_2

  1. pharaoh_2

    Yajue Majina ya kichagga na maana zake.

    Elimringi- Mungu mlinzi Eliaingiringa-?? Pharaoh- Asiye kubali kushindwa
  2. pharaoh_2

    Kwanini wake za watu ni watamu zaidi?

    Aisee we jamaa acha kabisa hii kitu kama ni Kweli, acha kabisa labda kama huna mpango wa kuoa maishani ... Karma ( i wonder if he real exist) but he is so strong.... "What goes around comes around" (This is his favourite Quote) One more thing.... Kama unaweza kuukanyaga moto bila...
  3. pharaoh_2

    Prof. Shivji Issa: Nipo nchi gani; baharini au barani?

    [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Kwa hiyo wewe ulikaa huko fb ulivyo komaa ndio ukaja huku?? Kama hujaelewa alicho kimaanisha unadhani utakua umekomaa nini mwenzetu?? Mr. Man just do me a huge favor and teach me... what is this thing you call 'fb'?? For I'm craving for maturity If...
  4. pharaoh_2

    Picha: Mrembo Nyailong ambaye mahari yake ni ng'ombe 520 na magari 3

    Mbona hujaiweka sasa picha ya huyo mrembo??
  5. pharaoh_2

    Bwana Kiranga atakuwa mhubiri mzuri wa habari za Mungu hapo baadae

    Number 5. You have just nailed it.. Hata Mungu amezuia au ameweka limit au mipaka kwa Mwanadamu kumfaham... Sasa cha kushangaza ni hapo ambapo the limited mind created by God trying to understand it's creator- The unlimited all powerful spirit... Kweli ndugu zangu kwa mijadala hii ni sawa...
  6. pharaoh_2

    Prof. Shivji Issa: Nipo nchi gani; baharini au barani?

    Yani watanzania bhana! Why do you always make a big deal out of nothing?? Kitu akikifanya mtu maarufu hata kama hakikua na maana mtakitafutia maana. Hii ipo hata kwenye kazi mbovu za sanaa za wasanii maarufu Ili mradi ameimba Fulani basi hata kama hakina maana au kina maana mbaya utaki...
  7. pharaoh_2

    Peter Bwimbo (Mlinzi mkuu Mwl. J.K Nyerere): Changamoto nilizokumbana ktk Ulinzi wa Mwl. Nyerere

    BARUA YA WAZI KWA RAISI MAGUFULI MTETEZI WA WANYONGE
  8. pharaoh_2

    Watanzania hii imekaaje?

    VIJANA WA JKT BARUA YA WAZI KWA MH. RAIS
  9. pharaoh_2

    Watanzania hii imekaaje?

    Ndugu sisi ni watoto wa wanyonge tuliorudishwa vikosi vya JKT Tanzania nzima -- tupo vijana zaidi ya 1600 -- wazazi wetu ni masikini na wanyonge , hawana sauti yoyote serikalini na wengine walshatangulia mbele ya haki -- hivyo baada ya MUNGU tunaamini nyie viongozi mnaweza kutusaidia -- shida...
  10. pharaoh_2

    Watanzania hii imekaaje?

    Nimeikuta mahali:- WARAKA WA VIJANA OP.KIKWETE KWA VIONGOZI NA WAKUU WA SERIKALI. Ndg. Sisi ni vijana wa op.kikwete kama tulivyo tanabaisha hapo juu!! Tumefanya kazi ya jkt na kulitumikia jeshi la kujenga Taifa takribani miaka 3. Tumeshiriki katika operation mbali mbali ndani ya nchi yetu kama...
  11. pharaoh_2

    Lets settle this once and for all - hunger in Tanzania

    Naona umeamua ku- settle this once and for all [emoji2] [emoji2] Hizi Blah Blah zako haziwezi kumaliza njaa iliyoko Kenya wala Tanzania you're not settling anything, kama umekosa la kupost ukae kimya Maana iko wazi kua njaa iko Pande zote, badala ya kuja na suluhisho la kumaliza tatizo unaleta...
  12. pharaoh_2

    Lets settle this once and for all - hunger in Tanzania

    Aisee naona unauchungu sana, mpaka unavurumusha na matusi?? Ni uzalendo kwa nchi yako au umeamua tu kuwawakilisha wakenya [emoji15] [emoji2]
  13. pharaoh_2

    Yajue Majina ya kichagga na maana zake.

    Elimringi- Mungu mlinzi
  14. pharaoh_2

    Joshua alilisimamisha Jua

    The fool hath said in his heart, There's no GOD. Psalm 14:1a KJV
  15. pharaoh_2

    Joshua alilisimamisha Jua

    Exactly, for further reference go read your biblia.. Sent from my TECNO-Y3 using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom