Kwanza Mungu hajakuandikia kutokukupa, amesema ombeni nanyi mtapewa, sharti ni kuomba, ukiomba nawe utapewa, usipopewa kwa wakati unaotaka wewe subiri, jua bado anakuandalia kitu chako ulichoomba, na Mungu kwa wema wake kitu unachoomba kama hakikufai hakupi, instead atakupa kitu ambacho...