Petrus Peter
Member
- Oct 24, 2018
- 17
- 15
Wakuu kwema?
Naomba kujua hali ya Mpaka wa Namanga, Tanzania na Kenya, kwa sasa ikoje? Utaratibu umekaaje, ili niweze kupita kwa Halali bila njia za panya inabidi niwe na documents gani.
Ahsanteni
Naomba kujua hali ya Mpaka wa Namanga, Tanzania na Kenya, kwa sasa ikoje? Utaratibu umekaaje, ili niweze kupita kwa Halali bila njia za panya inabidi niwe na documents gani.
Ahsanteni