Recent content by Petluk

  1. Petluk

    Mahusiano na wake za watu yameniponza na kunirudisha nyuma

    Jamaa una visa vizito sana, ila ndo ubinadamu sometimes inabid upitie hayo ili ujifunze na ufunze wengine kupitia kwako.
  2. Petluk

    Mpenzi wangu anataka kunikabidhi mtoto wake aliyezaa na mwanaume mwingine

    Jamaa mbona unatupa chai ya pilipili? demu wakat anapewa mimba alikua ana miaka 14, sasa hivi ana miaka 20 afu mtoto ana miaka 3. Sema ID yako nimeipenda
  3. Petluk

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Alivyo mjinga kaamua kuua wakamaria leo dk 90, kwenye dk 30 za extra tym anaweza shinda hata 2
  4. Petluk

    Nahisi nimetapeliwa sijui nifanye nini?

    Duuuh, hii kali sana, ilikua usiku nn kuna jinsi wakakuchezeshea?
  5. Petluk

    Nahisi nimetapeliwa sijui nifanye nini?

    Mjin daslam bana wezi na matapeli kila siku wanabuni mbinu mpya, ukistukia ya zaman wanakupiga na mpya. Pole sana mkuu.
  6. Petluk

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Hawa Pmbet mizinguo sana leo, toka mchana nimedopesit ela haijaingia mpaka sahv
  7. Petluk

    Nyoka Koboko au Black Mamba

    Wanaosema ubebe sufuria la uji ina maana hagongi sehemu tofaut ya mwili zaid ya kichwani?
  8. Petluk

    Nyoka Koboko au Black Mamba

    Kwel ukikutana nae inabid upige tu sala
  9. Petluk

    Nyoka Koboko au Black Mamba

    Basi huyu mdudu atakua hafai kwa ukorofi
  10. Petluk

    Nyoka Koboko au Black Mamba

    Mbona anaonekana ni mrefu sana, watu wanavyodai anasimamia mkia, akisimama c anamzidi binadam kama mara 2, ni ngumu sana kupambana nae, sijajua kama ukikutana nae af ww ukatulia tu bila kujitingisha atakudhuru? au ataona huhitaj ugomvi atakuacha na kuondoka
  11. Petluk

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Kufululiza siku 15 unakula ni kaz ngumu sana hata kama unatafuta odds ya 1.5 mkuu, kuna siku lazima uchemke
  12. Petluk

    Ukonga: Majambazi wavamia kituo cha mafuta Moshi Bar

    Daaaah, niko jiran na mitaa hiyo nimemuuliza mtu ananiambia kwel tukio limetokea mda c mrefu, hii hali ya ujambaz inaanza kutisha
  13. Petluk

    Baada ya picha zinazohusishwa na Kajala kusambaa mtandaoni, atoa tamko la kukanusha

    Nlikua naangalia kichwa cha huyu dada na kichwa cha kwenye ile picha naamini mwenye ile picha ni huyu dada ndo kafananishwa na Kajala
Back
Top Bottom