Recent content by pethidine 2

  1. P

    Huwezi kutenganisha Uislam na Uarabu wakati uislam Mwanzilishi na Muenezaji wa dini hiyo alikuwa Mwarabu

    Jamani Mimi Nina hitaji msaada wa kuonana na Rais Mh: mama Suluhu Hassan. Nawaomba watanzania wenzangu mnisaidie namna navyoweza kuonana na Rais.
  2. P

    Ni aibu sana kwa mwanaume kushindwa kumiliki gari

    Huyu mtoa post ni jinga sana. Gari Ndio kitu gani. Bahati mbaya hata tukikwambia uoneshe documents za gari lako utatudanganya tu.
  3. P

    Meseji (SMS) za dawa za Kiganga: Je, hawa ni matapeli? TCRA mko wapi? Namba wanatoa wapi?

    Habari wana JF, Binafisi nakereka na wimbi kubwa la hawa matapeli wa mtandao wanaosambaza SMS za uganga bila kujua wanaomtumia ana wadhifu gani katika jamii na simu yake inashikwa na akina nani. Nimekuwa nipokea SMS kwa siku zisizopungua 5-10 kwa siku ambazo ni kero na zinadhalilisha hasa pale...
  4. P

    Maswali magumu shambulizi dhidi ya Mbunge Nassari

    Mbwa wali waconfuse. Asante kwa uwepo Wa Mbwa
  5. P

    Maswali magumu shambulizi dhidi ya Mbunge Nassari

    Well spoken[emoji817]
  6. P

    Wizi mkubwa wa pesa za noti zenye uzito wa tani 3.

    Huu wizi ni mzuri sana.....hata hapa bongo unahitajika ili kuokoa maisha ya wenzetu basa walinzi. Hawa jamaa wakija bongo wanaweza chukua hela za kwenye ATM kama wanaingia kwao, eti unakuta ATM imejitenga harafu ina mlango kwa nyuma na walinzi pembeni huku wamelala shenzi kweli. Mkuu maliza...
  7. P

    Naomba msaada kujibiwa haya maswali

    Mimi sheria ilipita kushoto napenda kujua kazi za watu wafuatao <br />1. Hakimu<br />2. Judge<br />3. Wakiri<br /><br />Pia nijue hizi mahakama kiundani zaidi<br />1. Mahakama ya mwanzo na inauwezo gani.<br />2. Mahakama ya wilaya na uwezo wake <br />3.mahakama ya rufaa na uwezo wake<br />4...
  8. P

    Elimu kuhusu "Kuua bila ya kukusudia" S.195(1) penal code

    Mimi sheria ilipita kushoto napenda kujua kazi za watu wafuatao 1. Hakimu 2. Judge 3. Wakiri Pia nijue hizi mahakama kiundani zaidi 1. Mahakama ya mwanzo na inauwezo gani. 2. Mahakama ya wilaya na uwezo wake 3.mahakama ya rufaa na uwezo wake 4. Mahakama ya aridhi na si mahakama zingine 5...
  9. P

    Christina Shusho afunguka kuhusu viongozi Tanzania

    Unafiki mbaya. Kama anaweza apige zile tripu za marekani tena kama ilivyokuwa enzi za Mzee Wa tabasamu.
  10. P

    Mwenye uthibitisho kuwa Magufuli anapambana na rushwa auseme hapa, zaidi ya kuchochea na hawaguswi

    Vip wale madiwani Wa Arusha. Nasari alisema anaushahidi nikashangaa Takukuru wanajibu eti hafanyi kazi kwa bwebwe na wala wasifundishwe kazi. Hii hatari!
  11. P

    ‪Tusikubali udhalilishaji wa Jarida la The Economist, lamwita Rais wetu "Dinasauria wa Dodoma” na "bullheaded socialist"

    Sifa hufanana na matendo yako. Tenda Wema utasifika kwa Wema not otherwise.
  12. P

    Ni ipi official anti-malaria Mseto?

    Kwa shule yangu ndogo severe malaria ndio complicated malaria. Nimetoa reference yangu ya chuo- muhimbili hapo juu. Sijawahi ona tofauti. Ni sawa na kusema imminent eclampsia na severe eclampsia or severe pre-eclampsia.
  13. P

    Ni ipi official anti-malaria Mseto?

    Pitia hii mkuu wangu
  14. P

    Ni ipi official anti-malaria Mseto?

    Mkuu subiri natafuta USB nikutumie tilio moja matata. WHO ina vitu vingine not applicable in tz
Back
Top Bottom