May5
Member
- Oct 31, 2017
- 10
- 10
- Thread starter
- #21
Asante GuDume ...tutajitahidi kuwa wasomi wazuri zaidi mpaka tufikie level zenu ...mwandishi A. hajui B. hajui kueleza maana nimesoma sijaona jambo geni au la maana ambalo ameandika. amesikia sikia sehemu akanukuu vifungu ndo kaja kuandika badala ya kuelezea kwa kina. hawa wasomi wenu wa siku hizi ni hopeless kabisa. miaka yetu haya mambo ya kipuuzi hayakuwepo .