Huu ni uhovyo wa hali ya juu kabisa, haya amefurahi mjadala wa michango kuishia pale, I guess huyu kijana ni mpinzani wa chini chini wa DC au ana chuki binafsi
Sent using Jamii Forums mobile app
Ccm na Upinzani nchi hii ni kama Simba na Yanga tu , huyu anamcheka wenzie jambo hili kesho analifanya yeye tena kwa mbwembweeeee na mashabiki wao wanashadadia na kongole nyingiiiiiiiii
Mwisho wa siku maaendeleo ni kuyasikia kwa jirani tu.
Sasa unaona CDM iko salama? Huoni wanavyoparanganyika kwenye zizi? Unataka na CCM ifuate mkondo huo huo wa kuparanganyika? Wewe ni mwana CCM kweli au mamluki?mbinu zilizosababisha maadui wa kisiasa washindwe wewe unazishangilia huku kwetu, lengo lako ni nini?
Unadhani wale waliozomewa pale...
Hili jambo kwakweli kwa hulka ya mkulu wetu asingelivumilia kabisa maana yeye akisimama iwe jukwaani au popote huwa haongelei changamoto zilizopo huwa ni kujisifu tu tupo kwenye "laiti traki" hivyo yale yote anayoyasema jukwaani ionekane bure
Kwakweli hiki nilikisubiri
Huyo msimkilize kuhusu mambo yanayohusu Taifa, uwezo wake wa ku "reoson" ni mdogo mno hata hiyo nafasi aliyopewa kwa sababu ya kushambulia upande ule mwingine ni kumuonea tu haimkustahili
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.