Recent content by peter20

  1. P

    JamiiForums Tanzania Nokia n96 inahitajika

    Mwenye simu tajwa hapo juu inahitajika haraka sana bajet 60 elfu
  2. P

    JamiiForums Tanzania Nafasi za kazi Tume ya Utumishi wa Mahakama

    nimeskia kuna watu washaripoti kazini kuna ukweli apo?
  3. P

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    me naanza hivi,bristol city wim,,,chesterfied win,,burry win,,wycombe win,,york win,,,forest green win,,portmouth win!!naomben mawazo nimtoe yupi na yup nimwache zibaki tano za kupata mtaj wa kubetia?
  4. P

    JamiiForums Tanzania JKT watangaza nafasi za kujitolea

    afu na oral interview utafanyaje sasa cz huwa wanakuchanganya na maswal meng kwa mpigo,,,
  5. P

    JamiiForums Tanzania Nafasi za kazi Tume ya Utumishi wa Mahakama

    vp jaman bado hawajaita mbna kimya sana
  6. P

    JamiiForums Tanzania Nakaribisha maswali kuhusu Tiba / Dawa

    habar dr,me nikajana wa kiume nasumbuliwa na tatizo la kuwashwa sana sehem za siri yan najikuna had nachubuka afu tena kuna layer ya ngoz huwa inajitengeneza na kutoka, pia kwenye mapaja na mikononi huwa natokwa na vipele afu vinato maji nikikamua vinawasha sana had nakosa amani,naomba na tiba...
  7. P

    JamiiForums Tanzania Nafasi za kazi Tume ya Utumishi wa Mahakama

    asante sana kiongoz kwa taarifa
  8. P

    JamiiForums Tanzania Nafasi za kazi Tume ya Utumishi wa Mahakama

    nashukuru kwa taarifa!
  9. P

    JamiiForums Tanzania Nafasi za kazi Tume ya Utumishi wa Mahakama

    Habari wana JF, Naomba kwa yeyote mwenye taarifa za ajira ya utumishi wa mahakama za tarehe 2/2/2015 anisaidie nimeskia washaita watu kwa ajili ya interview ila sijaona link ya kuangalizia majina. Asanteni
  10. P

    JamiiForums Tanzania Nahitimu Diploma Ya Kilimo Mwezi Huu

    chuo gan icho mnahitim mwez wa 3 akat wenzako ndo wapo 1st semister?,dah cjawah skia chuo cha kilimo wanamaliza mwez wa tatu aise1
  11. P

    JamiiForums Tanzania Nauza baiskeli

    weka pct tuone!
  12. P

    JamiiForums Tanzania Nahitaji kujua king'amuzi gani kizuri kwa ajili ya Sports Channels

    na me nipm nina tatizo ka ilo tafadhal
  13. P

    JamiiForums Tanzania Angalizo: Wanaoweka matangazo ya kutafuta Kazi

    thnx mkuu kwa ushauri
  14. P

    JamiiForums Tanzania Wizara ya Kilimo watatoa lini ajira?

    ni kweli kuna baadhi wameitwa ila asilimia kubwa bado tupo mtaan bado
  15. P

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi kwenye sekta ya kilimo

    nisharekebisha,nashukuru kwa ushauri!
Back
Top Bottom