msaada wa kupata kazi kwenye sekta ya kilimo tafadhalini,kwenye makampuni ya kilimo au kazi yoyote!!natanguliza shukran kama ntasaidiwa
Ungesema jazi gani unataka mkuu, na ujuzi ulionao...
nimehitimu astashahada ya kilimo na mifugo,afisa kilimo msaidiz
Sasa weka haya kwenye post yako ya juu ili kama kuna mtu ana fursa iwe rahisi kuona...