Ilianza kutoweka Mara tu baada ya MWL. Kung'atuka.Wakati wa mchakato wa kumpata mrithi wa MWL , majungu,fitina na mizengwe dhidi ya S.A.Salim ilipofanikiwa ikafanya watamani "utukufu" bandia kuona njia pekee no kutumia njia hizo chafu.Kitu ambacho hawakujua no kuwa walikuwa wanapanda mbegu mbaya...
Kwani magufuli ana upekee gani hata I we nongwa kusemwa? Wanasemwa Obama,Trump,Merkel,Sarkoz, Mugabe,Kenyatta,kikwete sembuse yeye? Kama unaona Mbowe ni wa kawaida hata huyo n simple vile vile!
Japo in hulka ya wengi lakini wabongo tumezidi Haiingii akilini MTU mwenye elimu kiwango cha PhD kufanya upuuzi unaofanywa na std v.Watu kama Tulia,Mwakyembe,Lipumba jata bosi wao unashindwa kuelewa kama hizo shule zilikuwa no msaada kwao au balaa tupu.
Rudi shule ukasome upya( kama ulisoma sherua). Kama so taaluma yako uliza wanaofahamu na kujua sheria. Kuna mipaka na ukomo wa mamlaka na kinga. Niambie king a ya hao watu inapatikana wapi na sheria IPI.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.