Tunakodisha Bunduki
JF-Expert Member
- Oct 16, 2016
- 822
- 1,279
Waliiba kura mkuu kwani ni siri?
No, we need him for this,we need him kwa kusigina Democracy an freedom of speech
wengine walimuweeka profile kwa whatsapp eti Mungu akuweke sasahv wanakana shenzy taipu
Ohooooo!!!Wanaona aibu
Ohooooo!!!Ccm waliiba kura mkuu hawakuchaguliwa ndio maana wanatukomoa
na baaado..hadi mjue kusoma za kichina
Ohooooo!!!Nashangaa hata waliompigia kampen mtaan kwetu wanamkana.
Ni hatari sana. Ndiyo tatizo la kumuingiza mtu anayejijua yy na makada wake. Hakupaswa kuwa raisi hata yy hukiri hivyo ila kutoka na uroho wa ccm wakamuweka na watz wengi walivyo wajinga wakamkaribisha hawakujua kuwa wamemkaribisha chui aliyevaa ngozi ya kondoo.
Uzuri tunaisoma namba wapinzani tu. Wanaccm hata haiwahusu kbsa
Ohoooo!!!Laana yote ataibeba Lubuva
Ukweli ni kuwa huyu jamaa wengi hawakumpigia kura kivile kama walivyompa Lowasa.
CCM wanajua, Yeye mwenyewe anajua, "Taasisi" inajua kuwa HAKUSHINDA.
Na ndio maana nguvu kubwa inatumika kutawala badala ya akili.
YAANI UTAWALA HUU NGUVU NYINGI AKILI KINDUDE.
Sawa.Mi nilimpigia kura na hata ule uchaguzi ukirudiwa tena na wagombea ni walewale ntampigia tena huyuhuyu
Nilimpigia huku nikijua ni mtendaji na hata akiwa raisi atakuwa ni mtawala tu. Ila alikuwa ni hafueni ya wengine wote alioshindana nao.
Nisingeweza kuwa mnafiki kupingana na ukweli, acha ukweli uniweke huru mie. Hata angeshindanishwa na Kikwete ningempa huyuhuyu. Unafiki kwangu ni mwiko.
No, we need him for this,
-ATCL ifufuke ituletee watalii mamilioni..
-SGR, reli ya umeme tusafiri Massa matatu hadi Dodoma
-Umeme angalau MW5000
- JNIA uhudumie angalau abiria mil6 kwa mwaka
-Flyovers, expressways na BRT na Light rail DSM kuondoa congestion na kuharakisha mishemishe za kutafuta mshiko
- Barbara za rami katika Halmashauri zetu,
- Maji na huduma safi na za uhakika za Afya
And JPM atafanikisha haya.
Wewe unataka nini?
Ohoooo!!!Kuna jamaa alilkua anamkubali Magufuli sana mpaka akarudi nyumbani kwao (Mwanza) kwenda kumpigia kura. Sasa ni meezi wa 3 kampuni yao haijapata tenda yoyote toka serikali kila wakiuliza wanambiwa serikali haina pesa.
Sasa hivi anatukana tu na kujutia kupiga kura
Ohoooo!!!?Mi huwa sifichi nilimpigia kura ila nisameheni sikujua nachagua shetani
Ohoooo!!!Nimpe jambazi wa miaka 54+, hiyo haipo. Wa nn sasa? Kura yangu siwezi kuwapa ccm hata kwa dawa.
Bear it in your mind